habari wakuu, asante kwa mada hii ni msaada sana kwetu sisi tusio na utaalamu wa magari, naomba kujuzwa kuhusu engine ya toyota caldina new model ambayo ni 4wd uimara wake,consuption ya mafuta spare parts na service na kama zinavumilia njia za vumbi nipo kwenye mchakato wa kuagiza. with regard.
Anatafuta mwl wa kubadilishana naye kutoka wilaya ya Sengerema Mwanza kwenda sehemu zifutazo kibaha,Mkulanga,Bagamoyo,pamoja na Morogoro manispaa Elimu secondary
mtoa mada naomba ujiulize ni madaktari wangapi wapo nje ya nchi hii wanafanya tiba huko kila siku na ulishawahi kusikia tuhuma zozote kama tunazozitoa hapa kwetu? ulishajiuliza kwa nini na kwa nini sisi hapa kwetu? kwa taarifa tu madaktari kuanzia ngazi ya degree hawazidi 3500 nchi nzima yenye...
gharama za matibabu hazipangwi na madaktari bali ni taasisi husika kulingana na matibabu na standard zake.
rejea madai ya madaktari kabla ya mgomo, rejea majibu ya mheshimiwa pm na president.
naamini hatuhitaji kulalamika kwa sasa hamia tiba mbadala.
wapo waliokua wanavaa uniform za secondary na kukaa vituoni unaweza kudhani ni wanafunzi kumbe ni machangudoa, now upepo umegeuka kwa wanavyuo, nenda mabibo hostel, udom, saut, wapo wengi hasa kipindi cha boom delay, sikatai wapo wanachuo baadhi wanafanya hyo biashara but they are very...
mkuu,nahisi ulikua unaopoa machangudoa coz wapo wengi wanajifanya wanachuo na walikua wanaingia hdi mabibo hostel (my reference 2006/2009) na wanaume wengi wanaopigwa pale kwa kudhaniwa wezi ni sababu hzo za kudanganywa na machangu hao(mfano njo block x saa 3),na ndo issue iliyopo UDOM na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.