Toyota Ist inapoendeshwa ikiwa kwenye foleni mwendo mdogo sana inazima redio kisha inawaka dashboard inawakataa zote gari inazima na kisha ukiwasha gari inawaka na kwenye mwendo usio wa foleni haiizimi nini tatizo?
Mbezi high mpaka Mpigi Magoe kuna tank maeneo hayo kuna mradi wa maji uliokamilika lakini haujazinduliwa rasmi ni.. hivi karibun tumekua tukipata maji vizuri lakin kuanzia wiki iliyo pita hatuna maji, hakuna ufafanuzi wa kina unaotolewa zaid ya kua tu kuna changamoto ila hakuna dalili yoyote ya...
Dada yangu Mwili Wako Sio Maonyesho Kila Mwanaume Auone,Mwili Wako sio Mdoli Kila Mwanaume Auchezee,Mwili Wako sio Dampo Upokee Kila Uchafu wa Mwanaume,Mwili wako sio Mali ya Umma kila Mwanaume Akutumie,Mwili wako sio Kiburudisho kila Mwanaume Ajiridhishe,Mwili wako sio Pazia la Sebuleni kila...
Ndoa ni ya watu wawili ikiisha ingia mtu wa 3 hapo ndoa itakuwa mashakani .Wewe na mkeo ndo wa kuweza kulimaliza hili na sio mtu wa 3 .Kuna ugumu kweli wa kuwa mbali na familia lakini kikubwa ni kumuomba mungu kila wakati .Kufanya kazi mwanamke si mbaya lakini angalia kama ni ya serikali mruhusu...
NILICHOKIFANYA MIE NILIVYOHAMIA NILIBEBA SIKU YA KWANZA ABILIA NIKWAPA LIFT NDANI YA GARI NIKAWAULIZA WANAOKWENDA KILA SIKU KAZINI NIKAWAPA 2 NA WAWILI WAO WALIKIUWA NA DHARULA TU YA MARA MOJA HIVYO HOA WAWILI NIKAWWAMBIA WACHANGIE PESA YA MAFUTA SEHEMU YA KUPANDA MAGARI 2 KAMA NI 800 NAWATOZA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.