Yupo kazi Kufanya kazi yeyote kama. Kulisha mifugo , kukatia majani na kutunza bustani, Kazi Za Ndani, Kazi za kukaanga Chips , duka au konda. Kifupi ni muwajibikaji mshahara ni maelewano. Kwa maelezo zaidi njoo inbox
Ushauri tafadhali,
Kwa kiasi hichi ukiwa na maeneo ya mashamba na viwanda, naomba projection forecast na mchanganuo wa haswa kwa kiasi hichi kiwanda gani kinafaa maeneo ya Moshi na mchanganuo wa gharama.
Ipo katika hali ya kulizisha inafanya kazi, ni kwa bei ya 12M Tegeta - Dsm, ni pm tuzungumze na kubadirishana mawasiliano
Aina ya engine ni CC 2500 petrol 2RZ, imeshatembea km 125,300
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.