Rest in Eternal Peace Maalim Muhidin Gurumo.Umeondoka ila ujumbe wako kupitia sanaa utabaki milele.Msondo Ngoma poleni sana,wameenda wote Seleman Mbwembwe,Athuman Momba,TX Moshi,Said Mabela na sasa Gurumo.Poleni.
Kodi gani Zanzibar mnayoweza kutoa?Kodi za Zanzibar zote hukusanywa na ZRA,na wanakusanya bilioni zaidi ya 8 ambazo zinatumika kugharamia maisha ya nyinyi Wazanzibari msiojua kufanya kazi zaid ya bao,umbea na ......Mnalipiwa umeme na maji,elimu na afya na vijumba vyenu vya Maendeleo.Watumishi na...
Ni aibu serikali inaishia kubwabwaja kila siku kuwa wanawajua majangili,drugs cartels na wahalifu wengine,mbona hawachukui hatua?Wanawaogopa?Au ni wanafamilia wao?Tajiri wa Arusha anaogopwa hata kutajwa na Rais wa nchi,tumefikia pabaya kama taifa.
Hizi ni sawa na ngonjera au nyimbo za majigambo tu,kama anawajua kwanini asiwakamate nchi ikatulia na hivi visa vya majangili kila kukicha?
Hao majangili wamemzunguka kuanzia serikalini hadi chamani.Wanajua hawezi kufanya lolote,ni chui wa karatasi!!!!!!
Unamshabikia Malima?Inavyoonyesha nyinyi mnadhani aliuawa wakati alikufa kwa mapresha yake baada ya kutoka Mecca na kwenda London ambako alitaka kwenda kulipia Landrover 200 alizokuwa ameagiza,alipofika bank akakuta Kikwete ameshapita na kuchukua hela zote alizokuwa amewaibia Watanzania.
Pia wenye majivuno kupita kiasi,wanaojiona wanajua sana kuliko mumewe,wanafiki na wenye tamaa ya utajiri wa haraka.Wakali kuliko pilipili na wasiojua kuomba kitu kwa mumewe kwa kubembeleza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.