Wadau habar za kazi..nilikuwa naomba kujua Ni utaratibu gani wa kufuata kwa mtu aliekosa mtihani wa supplementary chuo kikuu Cha UDSM kwa changamoto za kiafya.
Nina ndugu yangu alitakiwa afanye mtihani leo asubuh..Sasa usiku alipata shida ya kiafya..huwa Ana matatizo flan ya kiafya akashindwa...
Ndugu zangu,Mimi Ni kijana natafuta pikipiki ya hesabu ambapo nitakuwa naitumia kufanyia biashara ya boda boda na kumlipa mwenye Mali kutokana na makubaliano ya kiasi tutakachokubaliana...naomba ndugu zangu nisaidiwe kwa Hilo nitafanya kazi kwa uaminifu mkubwa mnoo na nitahakikisha naleta hesabu...
Habari zenu wakuu..Kwanza kabisa Mimi Ni kijana,mwanafunzi wa chuo Kikuu flani Hapa mjini Dar.nilikuwa na mpenzi wangu ambaye yeye siyo mwanafunzi..Sasa alipata mimba pasipo kutarajia..mimba hiyo anadai kuwa ya kwangu na binafsi nahis Ivo kwa sababu siku ntakutana nae alikuwa siku za...
Habari zenu wadau wa JF nahitaji geto na vitu vyake..au at Kama anauza kimoja kimoja fresh kwa Alie Morogoro au dar anichek pm chap.natanguliza shukrani
Habar zenu wakuu..ndugu yenu Nina tatizo la kiafya huu Sasa ni mwaka wa Tisa...
Tatizo hili Lilianza mwaka 2010 nikiwa kidato Cha pili nikiwa shule mwili wngu ulianza kuwa na joto Kali Sana yaani napata homa flan kali mpaka mtu akinishika anashangaa kwann nachemka hivi.nikaanza kukonda na afya...
wakuu habar kwema Mimi nimechagiliwa mzumbe kozi ya sheria main campus lakin admission letter ni ya mzumbe campus ya mbeya kozi ya human resource nawapgia cm hawapokei nifanyeje wadau
habar wakuu,juzi niliandika thread iliyokuwa inaelezea tatizo la akaunt yang ya udsm campus ya mkwawa kuw nimetoka kwnye multiple wakat ukwel haukuw hvyo.sasa Leo mida ya SAA NNE hv naona wanelishughlkia tatazo langu na sasa limeisha
habar wakuu,Mimi nilichaguliwa selection ya pili nkwawa kama direct yaan nilpata chuo hcho tu na nilipoangalia kwa wale waliotoka kwenye multiple sikuwepo na profile zoote za vyuo nlivyoomba zilionesha kuw ckuchaguliwa isipokuw udsm campus ya MUCE .lakin cha kushangaza Leo nimeingia kwenye...
wadau Mimi nimechaguliwa DUCE BED ARTS kozi hii niliweka chaguo no 7 asa ndo nmedondokea hiyo hyo sasa nilkuwa naulza.he nkiomba tens vyuo vingine itakuwaje apo badae hasa kwenye suala la mkopo? ushauri tafadhal
Jana TCU wametoa multiple selection ambayo walitakiwa watoe tangu tarehe 22 kwa mujibu wa ratiba yao.lakini cha kushangaza vyuo vingi haviachia wale waliochqguliwa chuo kimoja jana hiyo hyoTCU wametangaza raundi ya tatu ambayo yenyew mwisho wakw ni tarehe 26.sasa najiuliza hivi Hawa jamaa kwann...
Message…wadau naomba kujuzwa kuhusu kubadilisha machaguo udsm hasa kwa kipindi hiki ambacho application zimefungwa je naweza kuingia na kubadili kozi maana nimeingia leo asubuh naona unaruhusiwa ku uncomfirm ukabadil then ukasubmitt. Naomba kujuzwa mana nahofia nsije nsije na uncomfirm. Afu...
wadau naomba kuuliza kwa anaejua .kna dogo aliungq vyeti viwil vya form four akafqnya mtihan wa form six mwaka huu..asa anatka kuapply mkopo na kwnye bahasa hizi mpya kuna sehemu unatkiwa uandike mwaka uliofnya mtihan wa form four.asa apo anatakiwa aandke mwaka wa kurisitia au mwaka aliofnya...
Kama tittle inavyojieleza mimi ni muhitmu wa form six nimepata two ya 10, natamani sana kusoma kozi hiyo hapo juu, nahitaji ushauri kwa waliosoma kozi hiyo. Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.