Hili ni kweli kabisa. Aidha wengi wao hawana hati za kuwepo nchini kihalali. Wengi wao wako mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Tanga. kwa kuwa wanazungumza kiswahili fasaha, basi kimewahalalisha kuwa Watanzania. Je hii ni haki? Lakini la kusikitisha zaidi ni kwamba Mtanzania yeyote akienda kutafuta...
ninashukuru kwa post hii muhimu kwa wanamtandao na wananchi kwa ujumla. Je, naomba mwenye kujua anijulushe kama Kimbiji nayo imo ktk huu mradi kwani nina personal interest huko?
(Quote) Wanajamii wenzangu
Kama alivyosema mwanajamii mmoja, hao waachwe watumie haki yao ya kikatiba ya kujieleza na kutetea dini yao.
Kuhusu suala la kuvaa eboebo kama alivyodai mwenzetu mmoja kwamba ndiyo tabia ya hawa watu, mimi naona huko ni kuwa na mawazo finyu kwani huwezi "kujudge"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.