mleta thread amenifurahisha sana.anaposema walikuta maandish dining hall "GALOPA MKRISTU MUCHAFU IS HERE"kama hp akajua timbwili la tambaza limehamia minaki.nimejaribu kutafsiri huyo kiumbe kwanini alijiobatiza hilo jino.kwamba ni mkristo aliyeshindikana au nimebaki nacheka.But al in al wale...
Ahsante kwa ufafanuzi kamanda nimekupata.Je kuna wakati maombi yanakua pending kwa muda mrefu sana.au tunapigwa juu kwa juu na wakubwa.zetu.maana ukiwa mikoani hata kuambiwa zipo hawsemi
nimefurahi na kupata upeo fulani toka kwa wana JF Kuhusiana na hii mikopo.lakini upande wa mahakama inaishia hukohuko juu kwa juu.nivema serikali ingetoa hiyo mikopo kwa vote au idara na kila mkoa na wilaya.ili isiishie kwa wakubwa tu.wao wana magari tayari na masurufu kibao alafu wanatolea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.