Naomba kiongozi, fatilia link hii http://bit.ly/ShalomTvTz_Bishop_Gamanywa kufahamu makusudi ya Jukwaa la Kumhubiri Kristo; ambayo kesho pia, wataelezea kwa watu wote kupitia Kongamano hili. ASANTE NA MARANATHA !
Waasisi wa Jukwaa la Kumhubiri Kristo ni askofu mkuu Sylvester Gamanywa, Mtume dk. Veron Fernandes, na askofu mkuu Zachary Kakobe ambao wameandaa na kugharimia kongamano kubwa la kihistoria la kwanza Tanzania kufanyika; IWE MVUA AU IWE JUA; watanguruma Jumamosi hii ! Hizi ni habari njema kwa...
Unashangaa nini kwa utaratibu wa kila kitengo kiwe na watu MAALUM wa Kitengo kwa usalama wa TAIFA ?
Haujamtendea haki huyo Dada pichani kwa kumtaja kwamba ni MTU wa kitengo kwa mazingira ya utumishi wake sasa maana wakati mwingine hajawahi kuwa usalama wa TAIFA.
Wakuu naomba tuhusike na kichwa cha habari hapo juu kwa kupeana taarifa na ushauri kama wadau wa Elimu ya juu. Asanteni kwa kusaidiana kama ilivyo mila na desturi Yetu wana Jukwaa hill.
================================================================
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI KWA...
Mungu atachoma milele viumbe vyake sio watoto wake. Kuna tofauti ya kiumbe cha Mwenyenzi Mungu na wana wa Mungu.
Wanadamu wasiomkiri Yesu Kristo kama ni Bwana na Mwokozi wa maisha yao wanaitwa VIUMBE na hawana tofauti mbweha au fisi watakaotupwa motoni milele pamoja na mashetani (Marko...
TANGU ZAMANI KUNA FURSA NYINGI ZA KUWEKEZA MAKAO MAKUU YA NCHI TANZANIA
MKOA wa Dodoma una fursa nyingi za kiuchumi na kijamii na fursa ya kwanza inatokana na jiografia yake ya kuwa katikati ya nchi
Hali hiyo inawezesha mkoa huo kufikika kwa urahisi kutoka maeneo yote ya Tanzania, hivyo...
Nimependa post hii chini na kubwa ameeleza hoja/sababu za msingi kwa nini bado anaamini uongozi wa Jf. Soma
ANGALIZO: KUNA SITES ZIMEANZISHWA NA WATU WAKO KAZINI KUSHUSHA CREDIBILITY YA JF KWA KUZI- PROMOTE ZA KWAO...
Kongole kubwa Mkuu kwa taarifa hii ya kueleweka kwa watu wanaofahamu kwa nini wako hapa. HUU NI MWENDELEZO WA VITA NA MAADUI WANAPIGA POROJA ZA PROPAGANDA KWENYE MITANDAO YA JAMII BAADA YA KUSHINDWA VITA KABLA YA KUANZISHA VITA. Tuko pamoja na uongozi kulitendea haki jukwaa hili.
Kumbukeni...
The preparation of this guide was supported by the United Nations Development Programme (UNDP) and Economic and Social Research Foundation (ESRF).
EXECUTIVE SUMMARY
Dodoma Region is a newly unfolding investment and business opportunity. The region has a population of 2,312,141 in 2017...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.