Kurudi rasmi kivipi wakati mkurugenzi anasema ni kupitia mgongo wa mtu? Mkataba uliosainiwa sio wa IATA ila ni shirika binafsi la HAHN Air, sasa huo unazi wa kuongeza habari kujipendezesha itasaidia nini ilhali ukweli uko hadharani? Aliyeingia chaka sasa hapa ni nani kama sio wewe mwenyewe rafiki..
Haijalishi watu wanasema nini, mafanikio ambayo yameanza kuonekana kwa wengi wetu ni uthibitisho tosha wa jinsi TMT ilivyo fanikiwa kubadili maisha kupitia fursa ya forex trade.
Mimi kama mmoja wa wanufaika nampongeza sana Ontario kwa moyo na nia ya kutufikia vijana wengi ili kupambana na...
Mkuu uko na shida kidogo hapo.., umewahi kusikia kati ya wote walioitwa wachochezi na kufikishwa kwa pilato wangapi walipatikana na hatia? Kwanini wanaishia kushinda kesi?
Halafu tena wewe mwenyewe unajiuliza mwizi wa simu anatiwa kiberiti lakini Lowasa anadunda mtaani, unafikiri nani mjinga...
Kuna haja ya kuziangalia tarakimu hizi kwa makini kabla ya kulaumu au kusifia.
Uchumi wetu ni uchumi dhaifu kati ya chumi za dunia hii ndio maana pato la nchi yetu hupimwa kwa dollar na sio shilingi yetu, swali la kujiuliza kwanini serikali inapotoa takwimu za makusanyo ya kodi hawapendi...
Kuna mtu mmoja aliwahi kuulizwa ukipewa hii nchi kipaumbele chako cha kwanza, cha pili na cha tatu ni kipi?
Majibu yake yalikuwa yakufurahisha lakini yanayohitaji tafakari ya kina;
1. ELIMU
2. ELIMU
3. ELIMU
Ontario mkuu I Salute...
Inahitaji moyo wa pekee kuwajulisha watu opportunity kama hii, Mungu akubariki sana na ikiwezekana wazaliwe mamilionea humu kupitia wema wako.
Sasa mkuu umesema yafuatayo:-
“Mimi nimekaa na kuwaza sana, nimefikiria nitoe offer ya watu wa mwanzo kabisa kutoka JF. It's...
Uchafu wa ccm ni escrow, iptl, deep green, epa, uuzwaji wa nyumba za serikali, mikataba ya kifisadi ya gesi, dhahabu, uranium, richmond, dowans, symbion, nk. Sasa ndugu yangu uvhafu wote huu ni Lowasa? Mimi naamini wewe na mimi tunaenda kuongozwa na mwizi mwingine na itakuwa hari zaidi.
Kama umati ni kipimo tosha hakuna wa kumzuia Lowasa, na kama kufahamika vijijini ni kipimo tosha pia hakuna wa kumzuia Lowasa. Kama umati wa jangwani ulitosha kuihakikishia ccm ushindi badi viongozi wastaafu na waliopo madarakani wasingeita wapinzani malofa nk, leo ccm ilipanic, sijajua kwanini...
Unaumizwa na constitutional rights??! Hao mashabiki wa Magufuli hawakukeri? Kushabikia magaeuzi ni ujinga na kutokwenda shule?Umekula maharage ya wapi wewe?
Akili na mawazo mapya unayozungumzia ni yepi hayo? Chupa mpya mvinyo uleule? Kweli watanzania tuna tatizo kubwa la kufikiri, kuchambua na kufanya maamuzi
Mimi sio mtetezi wa EL mimi ni UKAWA 100%, ila naomba nikuulize swali moja tu. Huo ufisadi wa EL unaojulikana na nchi nzima ni upi? Hivi kuna rushwa ndani ya ccm na serikali yake ambayo imefanyika ikulu haihusiki?
Kwa mtazamo wangu ni bora ccm ikapumzishwa rushwa imekuwa ndio maisha yao.
Ukinitajia mmoja tu kati ya watia nia wa ccm asiye fisadi nitakuelewa, yani genge la mafisadi (ccm) linatafuta mgombea mmoja halafu wewe unatarajia genge hilo lituletee asiye fisadi? Kweli watanzania hatuishi vituko..!
Mkuu nafikiri hili si jambo dogo, watawala hawawezi kulizungumzia hili maana lina maslahi upande flani, sasa nashauri tuanzishe vuguvugu la kukataa huu ujinga kwa kukusanya saini za watanzania ikibidi hata kupinga mahakamani, pia nafikiri jaji Lubuva tunaweza kumshitaki kwa kaunzisha majimbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.