Miaka saba upepelezi ulikua bado sio? Kuna haja ya kubadili huu utaratibu maana miaka saba na isinge kua haya mabadiliko ya sheria ange kaa zaidi ya hapo maana kuchelewa kwa haki ni chanzo cha kukosa au kunyimwa haki kwa mtuhumiwa alie mahabusu.
Mwanamke anapo olewa inamaana ameridhia(consent) kufanya tendo la ndoa mda wowote labda Kama ni mgonjwa anaweza kukataa ila la sivyo hawezi kukataa na akikataa basi ni refusal consummation na ina weza kuwa sababisha separation mpaka divorce.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri gharama na ukubali kugharamia asa ww unachukua range rover huna hata uwezo wa kuweka mafuta mkuu tafuta mnae endana kihali na atakae kubali hali yako japo wengi vinyonga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.