Search results

  1. N

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    N Naomba nifahamishe ulipo hapa Arusha nijekutembelea hilo bwawa namba zangu ni 0784887159.
  2. N

    Kuna Mtu Anajitapa: Tumtajie Wauza Madawa wakubwa

    Mwenzenu nasubiria ujenzi wa reli kwa kiwango cha lami
  3. N

    Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

    Angetutajia mwenye meno ya tembo yaliyokamatwa kwenye meli ya kinana ingekuwa poa saaaaaanaaaa
  4. N

    Sumaye: Nimenunua shamba kwa kiinua mgongo changu

    Kama meno ya tembo na meli sio zake ccm tutashinda
  5. N

    Maoni ya Ananilea Nkya kuhusu hotuba ya Dr. Slaa

    Safari yetu ni kufika kaanani.musa (slaa)kaamua kujinyonga tumempata Josua(lowasa);mwendo mdundo tutafika nchi ya asali na maziwa.
  6. N

    Yaliyojiri StarTv: Mahojiano Maalum ya Dr. Slaa na Star TV - Tarehe 4 Septemba, 2015

    Padri anamke.hii kali.bado tutasikia sister anamme.
  7. N

    Tundu Lissu: Dr. Slaa ni muongo, watanzania mpuuzeni. Maneno yote tatizo ni Urais

    Ni nani anahusika na meno ya tembo yaliyokamatwa kwenye meli ya katibu mkuu wa ccm?kuwa karibu mkuu kwa muda mfupi unaweza kumiliki meli?mnisamehe kwa maswali yangu.
  8. N

    CHADEMA: Kauli rasmi kuhusu yaliyotamkwa na Dr. Willibrod Slaa

    Yale meno ya tembo yaliyokamatwa kwenye meli ya karibu mkuu wa ccm Ni ya nani vile?
  9. N

    Hotuba ya Lowassa jana: Alisimama au kukaa?

    Nini maana ya kujenga hosipitali. Kama hakuna wagonjwa?Rais alikwenda Marekani kutibiwa je alikuwa mgonjwa au mzima?
  10. N

    Jumanne ya 01/09/2015, siku ambayo Ufunguo wa Uhuru Mtandaoni unapotelea baharini!

    [Tafadhalini mnijuze baraza la mawaziri linavunjwa lini?au ni tuksa kuomba kura wakiwa mawaziri?QUOTE=WILLAFRICA;13819360]Hakika ni fedheha na ni pigo kwa uhuru wa kutoa na kupata habari nchini maana si mimi si wewe lazima akili zetu tuzigeuze butu katika kufikiri ili kuendana na sheria mpya ya...
  11. N

    G. Lema anaongoza vurugu muda huu katika kituo cha kupiga kura Osterbay Arusha

    Vurugu ziko chumbani kwako?mbona niko hapa watu wako kimya?unalaana weye
  12. N

    Zimwi lakata kamba, laanza kuwatafuna waliolifuga

    Hii ya kuomba toothpick nimeipenda.wakiisoma watajinyonga kwa big G
  13. N

    Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

    Mi ninafunga usiku tu mchana ninakula kinachotakiwa Ni kutokula ndani ya massa 12.naunga mkono vunja jungu.kidumu chama cha mapinduzi
  14. N

    Zitto Awe Mbaya Wana Kigoma Wawe Wazuri!

    Akili ya kitoto kwahiyo waliomchagua kapuya wote ni wabakaji?basi asishitakiwa maana wanaurambo wanampenda.
  15. N

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Singida ajiuzulu. Adai Kamati Kuu ni wanafiki...

    Mwenyekiti machale yamemcheza watamshitukia kuwa ni mfuasi wa zzk.kwenye uwepo wa mungu mapepo hayakai
  16. N

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Singida ajiuzulu. Adai Kamati Kuu ni wanafiki...

    Kweli bange kujifunzia ukubwani ni mbaya,simwelewi mwenyekiti kajiuzulu halafu anasema atapigania haki ktk chama chake
  17. N

    Ukweli kuhusu CCM kumbeba Kapuya dhida ya Ubakaji alioufanya, huu hapa...

    Kama kapuya kampuyanga mtoto na kumpa ukimwi basi mawaziri wenye ukimwi ni wengi.spika Anne makinda kafurahia mtoto yatima kuambukizwa ukimwi.tusisahau sera ya ccm niwanafunzi kubakwa ni viherehere vyao(kauli ya mkuu wa kaya)
  18. N

    Ushauri kwa Kinana; kama kweli wewe huhusiki na maafa ya tembo, hebu jisafishe!!!

    Ila tembo wamezidi acha awinde ajilipe hajapewa kiinua mgongo alipostaafu jeshi,siunajua tatizo la malipo kwa wastaafu kama wale wa Aicc
  19. N

    Taarifa kutoka wizara ya mambo ya ndani kwenda kwa watanzania wote

    sio kweli uliosema Arusha hakuna wahamiaji haramu hata moja,ktk eneo la utalii hakuna kabisa,ila kunawafanyakazi haramu ktk sekta hiyo.usitake kunichafua roho Arusha ni Geneva of ....,
  20. N

    Dkt. Wilbroad Slaa ndio chanzo cha migawanyiko CHADEMA

    Hivi dk slaa na wasira nani babu?au mnamgwaya rais mpya?Chilisosi;6762855]Tatizo la babu ni woga, anawaogopa sana vijana wanaokuja kasi na anajua kuwa hana tena sifa za kugombea Urais
Back
Top Bottom