Duh, waelimishwe watu ndoa inayovunjwa ni ile iliyoshindikana kujengeka. Hivyo kuwepo uwezekano wa kuwaruhusu watu kuachana, majitu mengine ni manunda. Pole kwa wote waliofikwa na mkasa huo.
Mmmmh kuna jambo. Pia SUK wawe macho na visasi, wasiwaruhusu vijana wa kmkm kupiga hovyo mitaani kwani kuna rafiki yangu wiki iliyopita alinipigia kuwa polisi na sijui kmkm wanakamata vijana hovyo na kuwadunda kwa maelekezo maalum kuhusu walipo vijana hao.
Nadhani sasa wakati umefika kwa waislam na wakristo (dini kuu Tz) wakiwakilishwa na viongozi wao wakae pamoja na kuweka mikataba ya kuheshimiana na kuvumiliana (kutohujumiana, kutodhulumiana, kutoshambuliana). Hapo zamani paliweza kufanyika mikataba kama hii (mwanzoni mwa kipindi cha Mtume wa...
Watu hawapiganii Mitume bali Imani zao. Swali kama hilo unaweza kuwauliza watu ambao mara nyingi huamua kukojolea Qur'an, kuichoma au kuiweka chooni. Je, nani anawapandisha chuki kufanya hayo na nia yao nini? Kwani hata wakifanya hivyo bado mafundisho yapo mioyoni mwa watu hivyo haisaidii...
Nami natamani kati ya hizo 20, Magomeni (Bagamoyo) iwe mojawapo; hii itasaidia kuondokana na usukule wa viongozi wanaotumia rasilimali za umma kufanya anasa na kuimarisha ufalme wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.