Nadhani ni katika suala zima la kuoleana maana nakumbuka mwaka nimetembelea Wilaya ya Kyela nulipokuwa naishi kulikuwa na jirani yetu Mjeshi mstaafu wa kinyaki familia yake ilikuwa na wajihi wa kinyaru. Nilipoendekea kuchunguza zaidi niligundua kuwa mama yao ni mnyarwanda.
Hawa rafiki zetu( wake) sijui waliambiwa nini na yule nyoka yaani hata kuiona tu pesa umeshika jicho halibanduki. Hivi kwa nini mi nilijua inatokea kwa mke wangu tu.
Nimeliona hili jana huku Mpanda wakati Chongolo akihiitimisha ziara yake ya mkoa wa Katavi pale viwanja vya Shule ya msingi Kashato. Mkutano huo ulijawa na wananchi waliokokotwa na kusombwa na magari yaliyo kodiwa kufanya kazi hiyo kila kona ya mkoa. Kimsingi hakukuwa na wenyeji pale bali wageni...
Tumekufahamu mama, huu ni mkakati wako mahususi ili kuchelewesha kwa makusudi kabisa mchakato wa kupata Tume Huru ya Uchaguzi ama Katiba mpya ili 2024/2025 wagombea udiwani, wabunge na Rais kupitia Cham chako Cha CCM wapite bilakupingwa . Hilo haliwezekani , napinga kabisa mkakati huu ovu wa...
Naomba kiongozi unijibu na Mimi , nimepigiwa simu na mtoa huduma ofisi zenu hapa Mpanda nikijulishwa kuwa niende nikachukue vitambukisho vyangu viwlili change na Cha make wangu tu vya watoto eti mpaka ni submit kadi za clinic. Hii imekaaje kiongozi ili hali nimeambatisha nakala zote za kuzaliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.