Naomba mwenye ujuzi na uzoefu wa namna ya kutengeneza maandazi ya biashara. Lengo ni kuuzia maduka madogo madogo yanayonizunguka mtaani. Natanguliza shukrani
Nyumba ina:
1. Vyumba 3
2. Sebule
3. Nyumba mkonze ndani ya jiji la dodoma
4. Nyumba imekamilika ila inahitaji finishing kidogo
4. Bei milioni 20 (maongezi yanakaribishwa)
5. Nyumba haina dalali
NB. Nyumba haina mgogoro wowote na ina offa
Kwa mawasiliano zaidi nipigie kupitia 0717639621...
Habari zenu!
Niende kwenye mada nilikuwa natafuta mbia wa kuweza kuingia naye makubaliano na kuwekeza kwa pamoja kwenye kilimo hasa cha mboga mboga kwani ndicho chenye faida kwa sasa Tanzania. Mimi na baadhi ya vitendea Kazi kama pampu pamoja na utalaamu wenyewe wa kilimo. Chamngoto kubwa...
Habari zenu!
Niende kwenye mada nilikuwa natafuta mbia wa kuweza kuingia naye makubaliano na kuwekeza kwa pamoja kwenye kilimo hasa cha mboga mboga kwani ndicho chenye faida kwa sasa Tanzania. Mimi na baadhi ya vitendea Kazi kama pampu pamoja na utalaamu wenyewe wa kilimo. Chamngoto kubwa...
Suala hili limekuwa likiniumiza kichwa kwa kujiuliza kwanini Mwl JK Nyerere alikuwa havai nguo za rangi ya kijani kwa kuwa yeye ndiye mwasisi wa chama hicho kwani nimejiuliza alikuwa anawaza nini au alikuwa anatabiri tofauti na waasisi wenzake walikuwa wanavalia sare za chama. Ebu nisaidieni...
Bila shaka kila aliyeko kwenye mapenzi ana kiu yakufahamu staili mbalimbali atakazotumia katika uwanja wa huba kumpagawisha mwenza wake, kimsingi kuna staili nyingi sana ijapokuwa nyingi huhitaji wapendanao wawe wanasarakasiyaani wawe wepesi wa viungo.
Leo nitazungumzia staili ambazo mwanamke...
Sasa hii imekuwa to much maana tumekaa banch mpaka tumechoka sa nahisi mpaka viwango vya watu vimepungua kwa ajili ya strees ngoja tu tusubiri mpaka hiyo tar. 15 kama ni kweli maana tumezoea kupigwa kalenda ila ingekuwa wtoto wao wangewahisha
Kungonoana au kungonoka na kufurahia tendo baada ya kujifungua inategemea zaidi na wewe mwenyewe (uponaji wako)na lini unadhani uko tayari vilevile ushirikiano wa kutosha kutoka kwa mume/mpenzi wako wakati unaendelea na uponaji baada ya kutoa kiumbe kipya duniani.
Ni hali ya kawaida kabisa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.