Mh Rais na Mwenyekiti CCM Taifa.
Awali ya yote nakupa pole na pongezi nyingi kwa kazi unazozifanya katika ujenzi wa Taifa letu. Ni ukweli ulio wazi kuwa jitihada zako zinaonekana ndani na Nje ya nchi. Tunakupenda sana na tunashauku kufika Tanzania uipendayo.
Mh Rais na Mwenyekiti Chama...
Modes tafadhali kwa Maslahi ya Umma usitoe uzi huu.
Kumekuwepo na Mkakati wa serikali (Wizara ya ardhi) kuhamishia Ofisi zake za kanda ya Kaskazini Mkoani Arusha tangu 2008 wakati huo Waziri wa Ardhi alikuwa ni MH John Chiligati. Nikiri pia kama mteja wa muda mrefu wa Ofisi hizi sikufahamu...
Kama sehemu ya kubwa Viongozi wa Africa wasivyopenda kushauriwa kwa hofu ya kupoteza madaraka, Mh Rais (Magufuli) anaingia katika kundi la akina Kagame na Nkurunzinza wasiopenda kusikia tofauti na anayoamini yeye, hii si tabia nzuri.
Msimamo hasi ya viongozi wa Kiafrika haijaleta tija katika...
Wanabodi nawasalimu kwa jina la Muumba wa mbingu na nchi. Ninaomba kwa heshimu kubwa anayefahamu salary za CDA(capital development authority) kwenye scale za CDASS 7-CDASS 9anijulishe nisijeruka mkojo
Zitto Kabwe ni Mlevi wa sifa, kwangu nawashauri wale wafuasi wake wapige kimya kidogo kisha wamwaambie Boss wao (ZZK) akatubu dhambi zake zote tena kwenye media live hasa TV, aseme alivyo isaliti CDM, asema alivyotudanganya kuhusu pesa za USWIS mwishowe sisi tutapima huku mtaani kiasi cha...
Zitto ni mlaghai, Mlafi na mpenda Misifa yaani kote kukomaa kwenye media eti hana hata akaunti namba ya mtu huko USWISi, Madam Speaker simamisha huyo kichaa ubunge kwa miezi minane na salary asipokee
Wadau
Anachosahau Zitto ni kwamba hajui kuwa sifa haidumu sana kama mhusika anakosa adabu, wakati nasoma UDSM tulikuwa na watu wanaojiita TO (Tanzania one) yaani mtu aliyeongoza form six mwaka huo, vijana wale walikuwa wanalewa sifa kweli kweli mwaka 2008/2009 kuna moja alikuwa anasoma COET...
well chadema, Zitto Kabwe ni mpuuzi sana amelewa sifa hadi anaanza kusahau alipataje umaarufu alionao sasa ameupataje?
Inakuwa vp unajiita kiongozi wa Chama halafu huhudhurii kwenye vikao rasmi na kwenye shughuli zingine kama M4c.
mnafiki sana huyu kijana. na soo tutaanza kumsahau kwenye...
Huyu Dr Haule ana matatizo makubwa na ni mtu asiyekuwa na Utu kwa sababu kwenye kesi ya Agnes Liundi yeye ndiye aliyesema Alielezea juu ya kipindi kigumu cha maisha ya ndoa ya mtuhumiwa alichopitia, jinsi maisha yake ya ndoa yalivyokumbwa na misukosuko ya kutoelewana na mumewe.
Nafasi...
Ukweli ulipo ni kwamba polisi ndo wahusika wakuu wa jambo hili, mbaya zaidi eti wanampeleka Paul chaugonjwa kupeleza huko, another movie wapi Sule Komba?
Moderator usinipige ban nakuomba
Haya matatizo yote yameletwa na kikwete ana akili fupi sana na anatumia kivuli cha udini ili waislam waone kuwa si mdhaifu ila wakristu wanamchukia tu kwa sababu ya uislam wake,
I hate Kikwete and all his colleagues
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.