Search results

  1. M

    Ombi langu kwako Rais na Mwenyekiti CCM Taifa

    Mh Rais na Mwenyekiti CCM Taifa. Awali ya yote nakupa pole na pongezi nyingi kwa kazi unazozifanya katika ujenzi wa Taifa letu. Ni ukweli ulio wazi kuwa jitihada zako zinaonekana ndani na Nje ya nchi. Tunakupenda sana na tunashauku kufika Tanzania uipendayo. Mh Rais na Mwenyekiti Chama...
  2. M

    Waziri Lukuvi ahujumiwa

    Modes tafadhali kwa Maslahi ya Umma usitoe uzi huu. Kumekuwepo na Mkakati wa serikali (Wizara ya ardhi) kuhamishia Ofisi zake za kanda ya Kaskazini Mkoani Arusha tangu 2008 wakati huo Waziri wa Ardhi alikuwa ni MH John Chiligati. Nikiri pia kama mteja wa muda mrefu wa Ofisi hizi sikufahamu...
  3. M

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Kama sehemu ya kubwa Viongozi wa Africa wasivyopenda kushauriwa kwa hofu ya kupoteza madaraka, Mh Rais (Magufuli) anaingia katika kundi la akina Kagame na Nkurunzinza wasiopenda kusikia tofauti na anayoamini yeye, hii si tabia nzuri. Msimamo hasi ya viongozi wa Kiafrika haijaleta tija katika...
  4. M

    Simulizi: Mapenzi ya dhati

    very interesting story ila very bad ending sikutaka Reshmail apoteze maisha
  5. M

    Simulizi: Mapenzi ya dhati

    Hadithi nzuri sana, please bring it
  6. M

    Msaada tutani, Kuhusu CDA

    Wanabodi nawasalimu kwa jina la Muumba wa mbingu na nchi. Ninaomba kwa heshimu kubwa anayefahamu salary za CDA(capital development authority) kwenye scale za CDASS 7-CDASS 9anijulishe nisijeruka mkojo
  7. M

    Tuambizane kuhusu Nafasi za CDA

    Wana Jf, nawasalimu nyote asbh ya leo naomba tujuzane kuhusu zile nafasi za CDA walizotangaza mwanzoni mwa mwezi huu.
  8. M

    Nitaendelea kumtetea Zitto kwa gharama zangu zote. Kwa pamoja tuutokomeze ukiritimba

    Zitto Kabwe ni Mlevi wa sifa, kwangu nawashauri wale wafuasi wake wapige kimya kidogo kisha wamwaambie Boss wao (ZZK) akatubu dhambi zake zote tena kwenye media live hasa TV, aseme alivyo isaliti CDM, asema alivyotudanganya kuhusu pesa za USWIS mwishowe sisi tutapima huku mtaani kiasi cha...
  9. M

    Zitto Kabwe Adai kwa Kiapo Hana Majina ya Wenye Akaunti Uswisi - AG

    Zitto ni mlaghai, Mlafi na mpenda Misifa yaani kote kukomaa kwenye media eti hana hata akaunti namba ya mtu huko USWISi, Madam Speaker simamisha huyo kichaa ubunge kwa miezi minane na salary asipokee
  10. M

    Ufafanuzi wa CHADEMA Kuhusu Maazimio ya Kamati Kuu - Novemba 2013

    Wadau Anachosahau Zitto ni kwamba hajui kuwa sifa haidumu sana kama mhusika anakosa adabu, wakati nasoma UDSM tulikuwa na watu wanaojiita TO (Tanzania one) yaani mtu aliyeongoza form six mwaka huo, vijana wale walikuwa wanalewa sifa kweli kweli mwaka 2008/2009 kuna moja alikuwa anasoma COET...
  11. M

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    well chadema, Zitto Kabwe ni mpuuzi sana amelewa sifa hadi anaanza kusahau alipataje umaarufu alionao sasa ameupataje? Inakuwa vp unajiita kiongozi wa Chama halafu huhudhurii kwenye vikao rasmi na kwenye shughuli zingine kama M4c. mnafiki sana huyu kijana. na soo tutaanza kumsahau kwenye...
  12. M

    Asha Mkwizu Hauli-Na kesi ya kumuua hawara wa mumewe

    Huyu Dr Haule ana matatizo makubwa na ni mtu asiyekuwa na Utu kwa sababu kwenye kesi ya Agnes Liundi yeye ndiye aliyesema Alielezea juu ya kipindi kigumu cha maisha ya ndoa ya mtuhumiwa alichopitia, jinsi maisha yake ya ndoa yalivyokumbwa na misukosuko ya kutoelewana na mumewe. Nafasi...
  13. M

    Hofu Imewajaa Waandamizi wa Serikali Arusha.

    Mkuu wa mkoa and his crew lazima waasome namba hapa mjini Arusha
  14. M

    Lipumba atunukiwa Nishani ya kuhamasisha Amani

    labda maana ya amani mimi siielewi
  15. M

    Kati ya hawa waliotajwa, Nani karusha bomu?! Mtambue

    Ukweli ulipo ni kwamba polisi ndo wahusika wakuu wa jambo hili, mbaya zaidi eti wanampeleka Paul chaugonjwa kupeleza huko, another movie wapi Sule Komba?
  16. M

    Arusha- Ukweli mchungu!

    [PHP]
  17. M

    Leo nimekutana na wazo la ajabu sikuamini

    hali ya chama ni mbaya hata wazee wameanza kuichoka
  18. M

    Kutoka Arusha: CCM waanza kuchochea udini wahanga wa BOMU mkutano wa CHADEMA

    Moderator usinipige ban nakuomba Haya matatizo yote yameletwa na kikwete ana akili fupi sana na anatumia kivuli cha udini ili waislam waone kuwa si mdhaifu ila wakristu wanamchukia tu kwa sababu ya uislam wake, I hate Kikwete and all his colleagues
Back
Top Bottom