Search results

  1. Bin Kawambwa

    Habari

    Kwema kbs, ila kwenye orodha kuna mmoja simuoni na simjui wa kumuuliza isipokua wew tu. Samahani, simuoni wa kuitwa "lara1"
  2. Bin Kawambwa

    Habari

    Mkongwe..!!
  3. Bin Kawambwa

    Maji kuisha kwenye tank bila kutumiwa

    Hata koki yenyewe unayoiamini inaweza kua na leakage, umefunga vzr lkn bado inapitisha maji.
  4. Bin Kawambwa

    Maji kuisha kwenye tank bila kutumiwa

    Mafundi bomba kuna vifaa wanafunga bhana, vinazuia maji yasirudi nyuma. Kwa ujazo wa lita 5000 kama yanavuja yangeonekana tu. Nikipata nafasi nitaweka picha (hapa hapa) ya hivyo vikoki vinavyozuia maji yasirudi nyuma. NOTE; Kama utakipata, fundi ambae hajui hiki ni kifaa gani sio rahisi...
  5. Bin Kawambwa

    Ujenzi: Chumba, sebule na choo cha public

    Swali lako halijakaa sawa!! Anaway, nilichomaanisha ni kwamba 4.5M inatosha kupata tofali, cement, mchanga, nondo, bati, mbao na hela ya ufundi kwa chumba kimoja, sebule na choo, plus shimo la choo lenye ukubwa wa wastani. Ni kujenga na kupaua tu.
  6. Bin Kawambwa

    Ujenzi: Chumba, sebule na choo cha public

    Kama uko tayari kuanza ujenzi, just welcome.
  7. Bin Kawambwa

    Wewe kama Mwana Yanga unalipi la kumshauri Admin wa EATV?

    Wajue tu hatufuatilii stations zao
  8. Bin Kawambwa

    Hodi mimi, mgeni

    Karibu sana ndugu yetu
  9. Bin Kawambwa

    Habari

    Feel at home
  10. Bin Kawambwa

    Hodi Hodi

    Welcome
  11. Bin Kawambwa

    New member

    Karibu sana
  12. Bin Kawambwa

    Ujenzi: Chumba, sebule na choo cha public

    Chumba, sebule na toilet ni 4.5M Vyumba viwili, Sebule, Jiko, 2 toilets ni 13M. Ni gharama ya materials yote Kujenga na Kupaua, Shimo la Choo la ukubwa wa wastani, Kifusi, na gharama za Ufundi. Ukitaka mchanganuo fungua wallet. Naongea kama FUNDI.
  13. Bin Kawambwa

    Uchumi wako unaweza kununua kitu gani unachojisikia?

    Ahsante sana umenikumbusha nipitie sokoni, na leo tena ningesahau. 🙏🙏🙏
  14. Bin Kawambwa

    Natafuta kiwanja Kibaha maili moja

    Nimekupa location, fika uulizie. Kutoka mbezi ni 700/-, plus boda 1,500/-
  15. Bin Kawambwa

    Natafuta kiwanja Kibaha maili moja

    Maili Moja kuna sehemu inaitwa Muheza, about 2-3 km from main road. Vipo vingi tu vya 3 to 5M, ila kuna kimoja kutokana na maelezo yako huenda kikafuaa bei ni 7.5M
  16. Bin Kawambwa

    Zipi faida na hasara za kukuza gharama za ujenzi wa nyumba kama alivyofanya Mwijaku?

    Kusimamisha hilo jengo bila finishing yoyote ni kiasi kama 800M kwa nyumba isiyo na swimming pool.
  17. Bin Kawambwa

    Naomba msaada wa ramani na makadirio ya vifaa

    Wastani nyumba hizo za kawaida inagharimu 12M kuanzia msingi hadi tofali za juu. Ukitaka mchanganuo fungua wallet
Back
Top Bottom