Msichana wa kazi za ndani anahitajika,awe mwenye maadili anayejuwa nini anafanya,awe mchapakazi,msafi mwenye bidii na kazi,hakuna watoto wadogo ila nimajukumu ya kawaida tu,kwa mawasiliano 0783673996
Wa tanzania hatuangalii pointi ya msingi tunacho Anglia kachapia wapi yani kukosea kuandika ndowa badala ya ndoa,watu ishakuwa mada,ok baridi nyinyi ndio wasomi Mimi sijasoma,ila usilopoke bila kushirikisha ubongo wako.
Ok majibu nikama ifuatavyo mke bado sijampata na kwaushirikianu huu mzuri nikimpata tuu nitawajurisha,na muelewe kutafuta sana si kupata,nikweli kwamba nimeishaandika matangazo lakini bado sijampata.
Nashukuru kwa ushauri wenu mzuri wadau@kin'gasti,kizzy wizzy,kahtaan,flora msoffe na hata wewe uliyesema Mimi domo zege + mkono zege asante pia kwa mchango na ushauri mzuri kwangu.
Aslaam alyeiku,kwanza naanza kwa kumshukuru Allah kwa uzima aliotupati,Kisha kuwashukuru wote mtakao changia mada hii,kikubwa ni kujenga na si kubomowa.
Nimejitokeza Mbele ya kurasa hii nia ni kutafuta mchumba ambaye soon kama tutapatana ndiye atakayekuwa mke wangu.
Anayetafutwa:
Umri 18-30...
Karibu mkuranga kwa maitaji ya maeneo ya ujenzi wa shule,sheli za mafuta(petrol station),nyumba za kupanga,nyumba za wageni(guest house),maeneo ya ufugaji na kilimo,bei ni nafuu sana.
Ni pm,au piga namba 0719 450426,au whatsupp 0719 450426,au email.jonathankamwavahs@gmail.com
Kwa jina SULEIMAN ninaumri miaka 29,kabira mama mpare baba mnyamwezi,mrefu kiasi,si mwembamba wala mnene,mweupe wala mweusi,ni kati kwa kati,dini muislamu,elimu chuo kikuu,mfanyabiashara mdogo na mwana siasa.
Nimtafutae:umri kuanzia miaka 18
Muislamu,mwenye maadili mema,mweupe,mrembo.
Malengo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.