Nimejirejsta TCU kwa namba ya mtihani wa pili yani namba ya kurisiti bada ya hapo sistim ilinikatalia nakujiunga na TCU na kuniambia kwamba sina credit na sijakwalifai hata baada ya kuad namba ya zaman.Masaada jamani?
Naiomba wizara ya elimu na watanzania wenye uchungu na nchi yetu kuingilia kati mpango wa EZEB(bod ya mitiani ya kanda ya mashariki) wa kporomosha na kudumaza elimu. Bodi hi imeshindwa kutimiza wajibuwake,mbali na mengi yanayo lalamikiwa,mimi nazungumzia ucheleweshaji. Ambapo kwa mwaka huu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.