Imekuwa ni kawaida Watanzania wengi kusahau asili yetu na kuendekeza asili za kigeni.
Mpambanaji na mwana CCM, Mtela Mwampamba upo tofauti katika hilo.
Pichani ni Mtela Mwampamba na mtoto wake.
Ukiangalia mkononi mwa mtoto mzuri wa Mtela amevalishwa kiitambaa cheusi ambacho kwa lugha nyepesi...
Wakati Serikali yetu ipo bize kufilisi mashirika ya uma kwa ufisadi na kulinda mafisadi, majirani zuut Kenya wao wanaendelea kutuacha kwa kasi.
Aliyeturoga sisi alishakufa.
Katika ubebaji wa silaha za moto zipo kanuni zake za kiusalama ambazo mtumiaji kabla hajapewa ashike silaha yeyote ya moto hufundishwa na ni sharti azijue na kuzifuata kanuni zote.
Ntaziorodhesha hapa chini kwa lugha ya kiingereza na kutafsiri kwa kiswahili kwa tafsiri isiyo rasmi.
Kanuni hizo...
Mzalendo huyu aliamua kusimamisha shughuli zake ili ashuhudie historia nyingine ikiandikwa na wabunge wake.
Loo! hakuamini macho wala masikio yake hasa walipozungumza wale wabunge wa viti maalumu kutoka chama pendwa.
Mbaya zaidi mdau huyu aliingia gharama ya ziada ya kununua petroli na kukodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.