MADALALI WA RASILIMALI ZETU.
Bashir Yakub, WAKILI
+255714047241.
1.. WAANDISHI WA HABARI WALIOTEMBELEA BANDARI DUBAI.
Watanzania wapuuzeni sana hawa. Mtu ambaye amelipiwa tiketi ya ndege, amelipiwa malazi ya karibia wiki mbili Dubai, ametembezwa bandari za Dubai, amelipwa na posho juu...
Muandishi wa hii kazi ni Deodatus Balile. Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri wa Gazeti la Jamhuri.
Aliyeiweka anajua kabisa na amekata jina lipo juu kabisa ya andiko hilo.
.................
Kuna kipindi naaminishwa kuwa kuna binadamu wanatumia masaburu kufikiri,
Muhimu kufahamu kuwa Mkurugenzi wa Manispaa ndiye kiongozi wa jiji la Mwanza, hivyo suala hili si la mbunge hata, na wala ofisi ya bunge haihusiani kabisa na huo upuuzi uliofanyika..Tuache kusakiziana...
Nimeweza kuwasiliana na mtu aliyeko huko amekanusha taarifa hii, amesema kanisa hilo halijaguswa ila kuna wahuni wanavunja maduka na kuiba, ila mabomu yanaendelea kupigwa... hali si swali
0787 104886 hiyo ndiyo namba yake ya simu, alikuwa na ofisi yake binafsi kinondoni manyanya mwanamboka pembeni ya kituo cha mafuta cha mwanamboka, kahama sasa hajulikani alipo ila amejenga boko anaishi huko na familia yake,,,,.
Chagua magamba, chagua Maumivu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.