Kwa mara nyingine mungu wetu ametupa nafasi hadimu na hadhimu katika hii Dunia, hatuna budi kumshukuru.
Nikienda moja Kwa moja kwenye hoja yangu ya msingi. Kiukweli nimetafakari vya kutosha kuhusiana na hoja ya kuto kudai fidia pale inapptokea umeshtakiwa kimakosa,haijalishi itakuwa umeonewa...
Wanajukwaa habari za siku...!
Kiukweli nchi kama Taifa halina raha na wanchi wake hawana raha.
Kwa wanaongalia mambo kiundani utakuja kugundua wananchi hawana furaha na viongozi waliowachagu
Kwa mfano viongozi wa mitaa ( wenye viti wa serikali za mita ) , wabunge asilimia kubwa ya...
Wanajukwaa nawasalimia Kwa jina la Jamhuri.
Wanandugu kunajambo naomba niwashirikishe tujadiliane.
Kama hakuna nyongeza ya mishahara,hakuna ajira mpya, tozo kama kawaida na mikopo ipo pale pale. Je, kuna kipi kinaendelea Tanganyika? Au Kuna mchezo tunachezewa sisi watanganyika Kwa manufaa ya...
Wanajukwa habari zenu! Naomba niende moja Kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Kwa mujibu wa mambo yanavyo kwenda,hususani kwenye kesi ya msingi ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa upinzani. Kunavitu vimebainika na baadhi ya watu wameanza kusema na kuhoji mambo mengi sana. Kuhusiana na heshma...
Binafsi kwangu inamtosha, tuwape wengine tuone. Sisi sote ni wamoja tuwape CHADEMA nao tuone.
Kuna watu wachache wanasema uongozi haujaribiwi! Miaka yote uwa tunawateuwa viongozi wetu kwa kuwa jaribu katika nafasi zao wanazotuomba tuwape kura.
Ndani ya vipindi vyao vya uongozi ndipo...
Kiukweli Tume ya Uchaguzi imekosa uhalali wa kuendesha uchaguzi huu.
Habari zenu wanajukwaa wenzangu.
Nasema hivi "NEC imepelea kwenye kujibu hoja za Tundu Lissu kizembe". Imekosa uhalali wa kuendelea kusimamia uchaguzi, kwasababu Inajipinga yenyewe na Sheria zake zilizopo ambazo zinaongoza...
Binafsi nakosa imani kabisa,ukijimlisha na kauli zinazotoka vinywani mwa taasisi muhimu kama vile jeshi letu la polisi( IGP Siro) nk.
Naomba kushare na nyinyi ka crip kadogo kisha mseme wenyewe,uchaguzi huu utakuwa huru na haki kweli.
Habari wanajukwaa!
Kiukweli uchaguzi wa mwaka huu ni wenye ushindani mkubwa sana, kwa pande zote.
Kwa upande wa chama tawala, turufu yao kuu ni ununuaji wa ndege, ujenzi wa miundombinu mbalimbali, pia kuleta mabadiliko ya kiuongozi ndani ya taasisi za serikali.
Kwa mfano: Katika baadhi ya...
Habari wanajukwaa!
Moja kwa moja kwenye Mada. Binafsi ni family ya Mke na watoto 4, Pia tupo kwenye mahusiano kwa muda mrefu kidogo takribani miaka 12. Nasikitika hatujafunga ndoa, lakini tunaishi pamoja miaka yote hiyo. Tatizo ni dini zetu ni tofauti ( Mimi ni mkristo yeye ni muislam),lakini...
Moyo wangu umekuwa baridi sana. Kutokana na matukio ya kuteka watu.
Ndugu nawasalimu kwa swali langu, "Kwa sasa Green Guard kinafanya kazi gani?"
Swali Limekuja baada ya kuona matukio mengi ya kutisha ikiwemo, kuteka watu na pia kuwapoteza kabisa na wengine wanarudishwa wakiwa katika majerui...
Wanajukwaa habari za ijumaa kuu!
Dhumani langu lililo nifanya nishare nanyi ni kuhusu taasisi ya CAG.
Kiukweli kutokana na kazi nzuri inayoifanya katika kutimiza wajibu wake ambao kwa wingi kama watanzania,ninaimani tunafurahia kazi nzuri inayoifanya. Binafsi ninaumia sana ninapoona mambo...
Kesi iliyokuwa isikilizwe leo 21 disemba 2016 inayomkabili mbunge wa Arusha mjini Godbless Leman na mkewe Neema Lema ya kumtukana mkuu wa mkoa Mrisho Gambo imeahirishwa kutokana na hali ya lema kuwa mbaya gerezani.
Taarifa za Lema kushindwa kufika mahakamani zimetolewa na wakili wa serikali...
habari za siku mingi waungwana wa jf.
Ndugu zangu kuna habari nimeikuta kwenye gazeti la nipashe jana. mwandishi anahoji kwanini mgombea urais kwa tiketi ya ccm kwanini anajinadi yeye kama yeye badala ya kukipaisha na kukipa promo ili kizidi kueneza itikadi za chama?
Wasalamu ndugu zangu,
Wanajamiiforum wenzangu naomba mnisaidie katika hili la uvaaji wa chupi za bikini.
Ukweli niliwai kusikia hapo nyuma kupitia maneno ya watu; walipata kusema,"wanawake wanapenda kuvaa bikini kwa sababu kuu moja. eti kale kaupana kanachopita na kuingia kwenye anus yake...
Wasalamu wanandugu,
Habari nilizozisikia hivi punde ni kwamba Prof. Ibrahim Lipumba ameondoka nchini na ndege ya Rwanda jana baada ya kumaliza kuongea na waandishi wa habari.
==========================================
Chanzo: Mtanzania
Kiukweli nimetokea kukuamini ndiyo maana nakuchagua ili ukanitimizie yafuatayo:-
a) Nahitaji kuwaona viongozi wote wanaotuhumiwa ni mafisadi wachukuliwe hatua tena ikibainika wameifisadi nchi wanyang'anywe uraia wa tz kama si kunyongwa
b) wale wote walikufa kwa mashaka,taarifa zao zenye...
Laiti kama ungali lijua hili nahisi kwamba ingekua sifa kwako na ungeweza kujifunia mbele za wabaya wako. Lakini umechelewa na uchi umeachwa!!!!!!!!!!!!!! Pole kwa Taifa,
Ukweli ni kwamba utalo liamua sasa itakua kama vile umesimamiwa na wala si utashi wako kama kiongozi mkubwa kabisa...
Kiukweli wanajamvi nimetamani kushare nanyi jambo ili,ambalo nimelifanyia utafiti mdogo nanikafanikiwa kubaini kitu.
Mimi nimesema na nafsi yangu na wewe sema na nafsi yako kwanza kisha changia.
Ndugu zangu kiukweli nimewafatilia kwa ukaribu karibu wote waliojitoa na kufukuzwa uwanachama...
Kiukweli mwenyekiti na katibu mkuu wa CCM uwenda ikawa wanadanganywa kuhusiana na matokeo na maendeleo ya chama chao cha CCM.
Naomba niwape pole ndugu JK,Kinana,Nape,Mwigulu na Lumumba team.
Kiukweli ukiangalia kwa undani kuhusu swala la wapiga kura wa tanzania kwanzia 2010 hadi sasa 2014...
Boxing day njema wadau wa jf.
Naomba niende moja kwa moja katika kutoa hoja yangu ya kumtaka mh. Edward lowasa kujiuzuru nafasi yake ya uwenyekiti wa kamati ya ulinzi.
Hii inatokana na aya yaliyotokea kwenye operation tokomeza ujangili. Kama waziri wa mambo ya ndani na waziri wa ulinzi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.