Na Ndugu Safari Fungo
Kwanza kabisa napenda kutumia fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu muumba ardhi na dunia, mwingi wa utukufu na mwenye kurehemu. Kisha napenda kutumia fursa hii kuwatakia heri ya siku ya Nane Nane 2019 watanzania wenzangu wote na hasa washika dau katika sekta hii muhimu ya...
Let stop complaining and start stategizing, it can be done play your part badala ya kutumia energy nyingi kwenye kulalamika , lengo letu ni kubadilishana uzoefu na unaposema hakuna model au namna unayoweza kufanyia maoteo hii sio sahihi. Nadhani ni vyema tukajikita kwenye kuibua changamoto...
Nadhani tunatumia muda mwingi kujadili matatizo badala ya masuluhisho, unapo sema mzunguko wa fedha mbovu, ama sera mbaya wakati huna uwezo wa kuzibadilisha ni sawa sawa na kupoteza muda na kuibua madonda ya tumbo.
Binafsi na unga mkono hoja wa kufanya Tafiti ya kina sio kwenye kilimo tu la...
Udhibiti wa madini ya risasi katika bidhaa za rangi upo vizuri na hivi karibuni kuna viwango vingi vimeboteshwa katika eneo hilo na vile vile testing facilities zipo. Cha msingi ninkushirikiana na mamlaka za udhibiti.
Kila zama zina kitabu chake, huu ni uongozi wa tano na serikali ya Dr. Magufuli. Bila shaka katika watanzania waliopo kwenye wakati mgumu zaidi miongoni mwao ni rais wetu kipenzi Dr. Magufuli, hii ni kwa kuzingatia yupo katika wakati wa kusuka kikosi chake kwa maaana ya wasaidizi wake...
Kutoka katika sakafu ya Moyo wangu navutiwa sana na utendaji wa Raisi wangu kipenzi Dr. #Magufuli. Mungu akufanyie wepesi uweze kutupaisha kama taifa katika uchumi wa Kati na in sha Allah uchumi wa juu na kuleta manufaa kwa jamii nzima.
Kwa mtazamo wangu kama taifa tuna tatizo kubwa sana...
Kuna baadhi ya kondom huwa zimewekewa chemicals at the tips ku-delay ejaculation, kwavyo kuwa makini na aina ya kondomu unayotumia, tumia latex za kawaida ambazo Hazina nyongeza ya hizo chemicals mbali na hapo unaweza kuwa na psychological issue, kwahiyo nashauri foreplay muifanye kwa muda wa...
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES (about 200 posts)
Tanzania Bureau of Standards (TBS) is Tanzanias sole standards body, formerly established by the Standards Act No. 3 of 1975, which was repealed and replaced by the Standards Act No. 2 of 2009. It is a Parastatal Organization under the Ministry of...
Kwa maoni yangu binafsi naamini kila nchi ina utaratibu wake hivyo Tanzania kama nchi hatuwezi kutegemea mamlaka ya nchi nyingine katika kulinda uchumi na watu wetu.
Mathalani si kwa kuwa Marekani wana kikosi kizuri chenye uzoefu mkubwa katika masuala ya usalama basi raisi wetu aendapo...
Hii ni faculty of electrical engineering au TANESCO board of directors?
The trend is moving forward, CAG is coming from teaching arena, Government Chemist the same applied, TANESCO ndio hivyo tena, nadhani taratibu za kisheria zimekamilika na board of directors ya TANESCO ndio hivyo tena...
Wazo zuri na Hongera sana, ushauri wangu unahitaji upate roadmap na njia pekee ni kutengeneza business plan mkuu wangu. I can volunteer to guide you and any one who need to come with such kind of projects. Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.