Search results

  1. Kabodot

    Mashariki iko umbali gani kutoka magharibi?

    inategemea na umbali uliopo kutoka mstar wa grinwich
  2. Kabodot

    Vyuo vya kilimo na mifugo tanzania

    Jamani naombeni mnisaidie vyuo vya kilimo na mifugo jinsi ya kuapply,na kama vipo vya private karo zao nishilingi ngapi? Naombeni msahada kwa hilo wakuu.
  3. Kabodot

    Wizara ya afya yatoa tangazo la nafasi za masomo kwa mwaka wa masomo 2013/2014

    Kama niko kanda ya kati nikatuma kanda ya ziwa nivibaya?
  4. Kabodot

    Wizara ya Afya: Majina ya Wanafunzi Wapya na Vituo Walivyopangiwa

    Naomba msahada kwa chuo cha afya private0kama unakifahamu naomba unisaidie
  5. Kabodot

    Naomba msahada wizara ya afya...

    Jamani wana jf anayeweza kuniangalizia DOTTO T. CHARLES niliomba certificate in clinical assistants kwa upande wa dar...nisaidieni jamani.
  6. Kabodot

    Wizara ya afya...

    Nashindwa kuangalia tafadhali naomba uniangalizie...
  7. Kabodot

    Wizara ya afya...

    Jamani kwa yule aliye dar samahani naomba aniangalizie DOTTO T. CHARLES niliomba certificate in clinical mediciene (clinical assistants).naombeni msaada wenu...
  8. Kabodot

    Mungu wangu, kanisa jingine lachomwa moto huko Yombo

    Aisee!!! Muwambie waje musoma huku waone cha moto...2tawatililisha vbaya.
  9. Kabodot

    Aisee! Hii wizara!.

    Wazira ya afya imeamua nini? Sababu walisema 15 oktoba imepita...waongeze tena tarehe.
  10. Kabodot

    Matokeo lini.

    Matokeo ya vyuo vya afya yanatoka lini sababu nishachoka kusubiri...
Back
Top Bottom