msalaba uliogeuzwa ni namna mtume Petro alivyosulubishwa wakati wa kifo chake wala si fikra zako!
Mimi si mkatoliki, ila wakatoliki wamehifadhi uhalisia wa ukristo
Wasioelewa kama wewe wanakurupuka tu.
BWANA YESU AKUBARIKI EWE NDUGU
Huwa nawasikiliza hawa akina Nape, Shonza, Mtela M, Makonda et al na sijui wanajiamini nini
Siku nchi ikichafuka sijui wataponea wapi, naona wako busy sana kutengeneza maadui na kuchukiza watu
jamhuri ya zanzibar
hiyo chuchu fm inashika huku Dar au mwisho Chumbe?
Nawatakia kila lililo la kheri mnapopigana na shetani (ccm) kupitia kwa agent wakuu Sitta, Chenge & Hamad Rashid
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.