Cku moja unapigiwa cm na mwanamke umpendae kwa dhat kuwa anataka mkeshe wote den mnaenda klabu jamaa anataka no za yule mwanamke ww ukajidai kuwa ujui alafu pale baada ya kutoa no wanaanza kuchat na yule mtu bdae anakuja nduguyake nakumwambia wasepe kuna kaka yao anakuja den unamsindikiza fasta...
Ila watanzania walimfurahia kwa uzur wa sura yake na si utendaji wa kazi aya tungechagua yule kaka waliyemuita padr tungefikia wap na turud nyuma kwenye swala zima la ufisad je nan alithubutu kulizungumzia kama ckulipotezea na kulifumbia macho kwan hao mafisad nndio waliomuweka hapo alipo sasa...
Tunajiamin tunawezaata ukiweka iyo picha bana tumeshaamua kujitolea ndan ya jesh letu la wananchi mana kama waliweza wazee wetu tutashndwaje bana sisi vijana wao
Mimi ni raia wa Tanzania nina umri wa miaka 24 nimemaliza chuo mwaka uu katika chuo cha elimu ya biashara (cbe) kiwango cha elimu diploma ya ict natafuta kazi ya yoyote ya it kama kuna mtu ana msaada anijuze hapa na kwenye no 0712271441
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.