Umesema ili uappeal uwe na sababu muhimu kama kifo kwenye mabano ukaeka tokea kipind cha deadline mpaka kutoka matokeo, sasa sisi wengne tumefiwa toka tupo olevel tena tukiwa katika shule za serikal, na vyet vyote nlipeleka, ntakua na sababu gan nyengne ya kuwaconvince, mana kuna wenzangu same...
Sikukatishi tamaa, lakini kwa vyuo vya gvt ni ngumu labda wende private.
Mimi binafsi nina c kwa masomo yote ya sayans niliomba mwaka uliopita nikakosa. Kuna mwenzangu alikua na kama mimi ila alinizid kwa kuwa na B ya biology aliekwa reserve mpk keshaenda private ndo anapigiwa simu aende...
habari, naomba discussion ya mawazo yenu hasa watu wa fani za IT
Kuna umuhimu wa kujua programming languages nyingi (mf. C++,C, phython, perl) au kuwa na language moja ambayo utakua na ufanisi nayo?(mf. Kuwa na python tu, au C++ tu)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.