Rutta: afrika hakuna tume huru za uchaguzi jamaa kauawa ili wafanikishe kurudi madarakani kwa mlango wa nyuma, kwani naibu waziri wa mambo ya ndani wa kenye naye yuko upande fulani hata wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa waziri wa wizara hiyo last month aliwataka wakenya kupiga kura na kurudi...
Tunaomba kujua mazingira vizuri ya kuuawa huyu kamanda, taarifa ziko sahihi ila namna alivyouawa ndiyo hatujui. Je alitekwa?? Na alikuwa peke yake?? Muda gani??? Maeneo gani??? Hapa wahalifu lazima wapatikane tu na sheria ichukue mkondo wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.