yah ngugu yangu umeeleweka kabisa maana hata mimi kuna wakati hunitokea ila ukienda hospitali watakupa dawa wakidai kua sometimes unakua na viambukizo vya wadudu fulani
nashukuru walau unataka kujikomboa, umegundu pesa unazolipa unamnufaisha mtu, ramani ukitaka naweza kukutengenea na zipo ambazo ninazo lakini ni vigumu kuziweka hapa maana ni nyingi labda useme unataka nyumba ya aina gani,,, nadhani umenipata,,,,,,,,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.