Mm nawashauri kesho njoon kazini mpige kelele mkitaka kumuona waziri labda atashituka akili yake.yani mkija wala msitoke bila majibu yenu.mkizembea mwezi huu unaisha bila majibu yoyote.wakazi wa dar njooni kesho kwa wakazi wa mbali namba ya ofisi ya waziri ni+255222120261/mwisho...
Wadogo zangu tatizo kubwa ni waziri ameshakabiziwa sasa nijukumu lake kutangaza hili watu watoe Ila ndio hivyo viongozi wetu.mm natamani hata sasa yatoke Ila ndio hivyo mpaka waziri aseme.kiukweli hakuna wazir mzembe kama mwinyi.
kwa sasa Tanzania haijapata chama kizuri kama ccm ukweli utabaki palepale.ww sasa mtu anayetuka na watu awe rais ww ni nani asikutukane.tukizungumzia mafisadi ruhasa hamshindi zzito kabwe kwa ufisadi.mm ni chadema Ila 2015 nawapa ccm ni bora kuliko kutengeneza vita ya chadema.
hujui kitu mpendwa kuna watu wamepa 3 kwenye Chet cha form six na wamekosa nafas ya MD wameomba co.kila kitu na malengo mpendwa hacha kusema ujinga kwenye mtandao mkubwa kama huu jifunze kuheshim watu ili na ww hueshimiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.