Wakuu salaam Sana,Kuna jamaa Wana ofisi nzuri tu pale ubungo daraja opp na njia ya kwenda chuo kikuu Cha dsm na mmoja wao anaitwa Joshua .
Niliwalipa pesa vifaranga hawakunipa toka mwezi wa tisa mwaka jana hadi leo na Sasa ofisi wamefunga simu hawapokei.
Nimechanyikiwa Sana maana ndio mtaji...
Namshangaa Sana ,mleta mada hajakosea chochote ,amekidhi vigezo vyote vya tangazo lake jamaa from no we're fokofokoooo tukisema unaingiliwa tutakuwa tumekosea Nini ?shwetani wahed kabisa
Ukipande ndege ile imenyanyuka inakaa level Kama 5min inaanza kushuka znz au dar ....
Zanzibar pazuri ukiwa na pesa na ujue pa kutembelea kwa mfano uende Kama nungwi au jambiani utasema usiondoke huko pazuriiiiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.