hili niswali linalo paswa kuulizwa na yatu bidi tufikilie kwa umakini je wasomi tulio nao katika taifa hili wana lisaidia taifa au wana lianga miza taifa maana toka na zaliwa mpaka leo sija wahi kuona wakija na solution za matatizo nikianza na katiba sifuri impact hamna je wadau tufanyaje??
Tuna endelea mara zote tunapo fikilia dini zetu wakati mwanzo kabla ya wakoloni ismail na john waleo tulikua tukitumia majina asili tena yasiyo na utofauti wa kiimani na baada ya hawa wakoloni kuingia na kuleta dini tukaanza kuji tofautisha kwa dini wakati mwanzo kulikua hamna hilo napia wote...
mpwapwa una yo iongelea wewe ni mpwapwa ipi mpwapwa isi na maji ya uhakika mpwapwa isiyo na barabara mpwapwa yenye kunyonya na wawekezaji au mpwapwa gani au mpwapwa isio na stend wala soko ????????:help: isaidieni mpwapwa hasa vijana wasomi wengi wampwapwa hasa mlioko vyuoni jamani salamu hizi...
Viongozi wa chama tawala na chama cha wananchi masikini kesho kita washa moto kwenye wilaya ya Mpwapwa pale viongozi wa kanda na viongozi wa mkoa na makamanda wa wilaya ya Mpwapwa watakapo ongea na wananchi wa Mpwapwa.
Kwa muda wote wilaya na mji wa Mpwapwa umeendelea kuwa sehemu ambayo chama...
Niko mpwapwa wiki ya tatu sasa wana mpwapwa wame kosa mbunge wamekosa madiwani supavu wame kosa sauti na tamani kigaila uje kuwa komboa kama maiki yao msemaji wao wana sema nikufikiishie kilio chao na vijana wengi asubuhi ya leo wana taka mpwapwa siku moja iwe kama arusha kigaila kama una pita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.