habar zenu wakuu,mm n mwanafunzi wa chuo kikuu(udsm) naomba ushauri ninaweza kuanzishia biashara gan sababu familia yng ina hali mbaya na kuna wadg zng wananitazama mm hvy bumu pekee haltosh.naombeni msaada wakuu
CR7 ni bora kulko mess kwanz kaweza kucheza kwa kiwango cha juu katka ligi mbili kubwa nadhani tungepata nafc y kumuona mess ktk EPL tungejua, kwa swala la mech kubwa waulizen BARCA ingaw kwa timu za taifa wote n sawa ingawaje kwa macho Argentna n wzr kulko Ureno kwa ufupi without XAV,INIESTA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.