Jana usiku walikamatwa Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya Bukoba Mjini, aliyekuwa mgombea Ubunge kupitia CHADEMA ambaye pia alikuwa meya wa Manispaa ya Bukoba, aliyekuwa mgombea udiwani kata ya Kashai na wanachama wengine wanne.
Hawa wamelala mahabusu polisi na kupelekwa Mahakamani kwa makosa ambayo...
Ni wito wangu kwa shirika la TBS kufuatilia na kuja na majibu iwapo hizi bulb za umeme zinaoonekana kutengenezwa China na zinasambazwa nchini kama zimekaguliwa ubora wake.
Ziko hizi bulb zilizo na jina la BLUEBAY za 60/watts ambazo nimenunua mara tatu lakini kila moja Haitumiki zaidi ya siku...
Wakuu habari za kazi.
Nime download software 6.5 gb iliyo compressed katika Winrar lakini imewekewa password.
Nimeelekezwa kupata password mtandao fulani lakini naona kila nikienda huko inanipeleka kujibu maswali yasiyo na msingi.
Mwenye kujua ninavyoweza kuiondoa hiyo password anisaidie.
Asante.
Wakuu nimeibiwa kasimu kangu ka kupangusa aina ya huawei.
Nifanyeje ili kafungwe kasitumike tena kabisa au nikapate?
Ninazo imei namba zake.
Msaada please
Baada ya kitafakari sana nimegundua kuwa wabunge ndio kundi pekee katika nchi hii wanaolipwa pesa nyingi kwa kazi ambazo Hazipo.
Kwa mfano Mwenyekiti wa kijiji na mwenyekiti wa mtaa hawana malipo yoyote wakati wao hufanya kazi kubwa kuliko mbunge.
Na wanawajibika bila tatizo.
Hata madiwani...
Kitendo anachojaribu kufanya mkuu wa mkoa Kagera ni cha hatari, cha kihalifu na hakikubaliki katika dunia ya ustaarabu wa kidemokrasia.
Jana alihudhuria kikao cha ndani cha wana CHAMA CHA MAPINDUZI katika ukumbi maarufu wa LINAS mjini Bukoba na kuzungumza na wana CCM wenzie huku akiwafunda...
Kwa wale wazee kama mimi (maana vijana wa leo wanaweza kuwa wanafahamu ya miaka hii michache 30) bila shaka mmetafakari sana kuhusu mstakabari wa nchi yetu.
Jambo nililogundua mimi binafsi, J.K.Nyerere alikuwa na mafanikio makubwa sana kiutawala na kimaendeleo na kichumi kuliko awamu zote tatu...
Wakuu hamjamboni?
Mwenzenu nina hitaji la kununua Printer.
Printer ninayohitaji ni ile ambayo pamoja na shughuli nyingine za kawaida itaweza Kuprint vipeperushi vya wagombea mbali mbali wakati wa uchaguzi mwezi wa 10.
Si mnajua neema ya uchaguzi iko karibu? Mwenye good idea na printer iliyo...
Wakuu mie naona hatua tuliyofikia bora tukubaliane kuuza nchi hii tugawane pesa yaishe maana hawa watawala wanaanza kutuzidi ujanja. Wameuza kila kitu na sasa wanatamani kutuuza Tanganyika kwa zanzibar na tusipokuwa makini watauza nchi yetu Tanganyika na watatuuza na sisi tukiwa ndani. Ni...
Jamani kuna hawa watoto wanaitwa watoto wa mitaani ( ingawa ukweli ni kuwa mitaa haizai ) nashindwa kuwapa jina litakaloeleweka. Hawa ni watoto wasiokuwa na makazi mijini na vijijini na wengine wakiwa wanajilea wenyewe wakiwa hawana guardian kabisa!.
Katika nyakati hizi kuna wimbi kubwa sana la...
Habari za uhakika zinaonyesha kwamba mpasuko na mvutano wa madiwani na baraza la madiwani manispaa ya Bukoba bado ni mbichi kabisa na halitakwisha mapema baada ya diwani mmoja wa CHAMA CHA MAPINDUZI kwenda mahakamani akimtaka mkurugenzi kueleza kwa nini hajawafukuza madiwani waliokuwa wamegomea...
Habari za uhakika zinaonyesha kwamba mpasuko na mvutano wa madiwani na baraza la madiwani manispaa ya Bukoba bado ni mbichi kabisa na halitakwisha mapema baada ya diwani mmoja wa CHAMA CHA MAPINDUZI kwenda mahakamani akimtaka mkurugenzi kueleza kwa nini hajawafukuza madiwani waliokuwa wamegomea...
Serikali yakiri matumizi mabaya ya fedha zake
Posted Decemba7 2013
Kauli hiyo ilitolewa jana na Naibu Waziri wa Fedha Janeth Mbene, alipokuwa akijibu maswali ya nyongeza kutoka kwa Mbunge wa Viti Maalumu Ritha Kabati ,(CCM) na Hamad Rashid Mohamed (Wawi- CUF).
Serikali imekiri kuwa...
Wakuu sana JF,
Nina mpango wa kuanzisha radio lakini sijui vizuri taratibu nianzie wapi na watu wa TCRA?
Naomba kujua ni nini natakiwa kuwa nacho mbali na vifaa/mitambo?
Je ni form zipi natakiwa kujaza ili kupeleka TCRA?
Tuendelee kupeana elimu nataka nijikwamue kupitia huko.
Nitashukuru kwa...
Nimepata taarifa majeruhi mwingine wa uwanjani wa soweto amefariki pale Muhimbili.
Marehemu na majeruhi wengine waliletwa jana jioni toka Arusha na kupelekwa Muhimbili. Ni kijana ambaye ni mwanafunzi amabye pia inasemekana alipigwa risasi akitoka tuition.
Jamani kwa muda sasa nimekuwa nikishangaa kwa nini Bhakresa kaamua kuweka nembo zenye picha za msikiti na maneno ya sara za kiarabu kwenye label za vinywaji vyake? Nilikuwa naona zile Azam Malt, vile vichupa vidogo vya mango na leo nimeona kwenye soda ya azam soda nanasina!
Naomba nieleweke...
Leo nilimsikiliza bungeni huyu mama akitoa wimbo mpya. Kwamba makanisa yamekuwa mengi na nadhani kwa kauli yake hiyo anahitaji yapunguzwe, sijui kiasi gani anajua mwenyewe. Jamani, kila siku tunaomba viongozi wetu hawa wa weigh out kauli zao kabla ya kuzitoa.
Hivi ngoja nimuulize tena mama Anna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.