yani wewe wakati wenzako wanafikiri kwa kutumia kichwa na kukaa kwa kutumia matak...wewe ni inverse kabisa..unakalia kichwa na kufikiri kwa kutumia matak...hakuna chuo bora bali kuna mwanafunzi bora..
kuhusu swala la second batch ni kweli na mimi mwenyewe nimeverify hilo kwan jana nilienda bodi nikauliza,na hii imetokana na wanafunz wengi wenye faculties ambazo ni PRIORITY kukosa mkopo kutokana na matatizo yao na moja wapo wameiita "SYSTEM CODE PROBLEMS".hivo vijana mnaojiita great thinker b4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.