Wana jf wote habari za leo, mi ninaishi Arusha kuna mtoto wangu macho yanawasha sana amesugua mpaka ngozi ya macho umechubuka. Sasa sijui tatizo ni nini naombeni kujua clinic nzuri ya macho hapa Arusha niweze kumpeleka. Natanguliza shukrani zangu.
Wana jf wiki iliyopita Tanesco walikata umeme bila taarifa kwa siku nne mfululizo ilipofika ijumaa wakati rais amekuja wakaachia umeme mpaka jana jpili. Rais ameondoka mwendo ni ule ule hakuna umeme na hawatoi taarifa kama kuna shida au ni nini, je tuchukue hatua gani watu tunaotegemea umeme kwa...
Wakuu hawa jamaaa ni noma sana. Leo watu wamepata elimu kubwa sana kuhusu rasimu ya pili ya katiba maeneo ya kata ya Kiranyi Arumeru. Kwa kweli wanajitahidi sana wanatoa vipeperushi na cd zenye elimu kuhusu rasimu hiyo na wanadai ni zoezi la nchi nzima. Nimewapenda sana mungu awabariki hakika...
Wakuu habarini za leo na poleni na majukumu., mimi nipo Arusha nahitaji sana hao bata kwa ajili ya ufugaji. Mwenye taarifa mahali naweza kuwapata anisaidie tafadhali. 0767476295
Wakuu salamu kwenu., nimekuwa nafuatilia kila mdahalo wa katiba uliopita ila kwa bahati mbaya naona nguli wa mambo ya katiba kaachwa najiuliza kwa nini waandaaji hawamualiki.? Mwenye taarifa anijuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.