...Mbuzi hula mwisho wa kamba yake na unavuna unachopanda. Niliwahi kumuona huyu mzee pale same mjini mwaka 2004 alikuwa na hali mbaya sana kuanzia mavazi mpaka afya yake huwezi kuamini kama alikuwa mtumishi wa serikali mpaka katika level ya uwaziri...Ndio maishakupanga ni kuchagua!!! (RIP)
Kama ni watoto wangu nitawasafisha vizuri na nyumba itasafishwa then wapate msosi fresh then naingia nao maeneo ya kuchezea watoto waende wakafurahi. Siwezi kuwatandika kama mtu aliyeweka rangi kizembe asingefanya hivyo yumkini hayo yote yasingetokea.
... Hata mimi nimesikia kuwa jamaa anahusudu sana kuvaa ringi za wanaume wenzake.........Ubazazi ukizidi lazima unachofanya mungu atakupiga kofi usifanikiwe.....
....Hebrew, usiambiwe kitu huko Chita si kwamba ndio kwenye jeshi ni JKT kama zilivyo kambi nyingine tatizo la Chita ni kuwa porini sana kiasi kwamba hata kuruta aki-attemp kutoroka ndio hivyo risk wanyama, majoka ndio tatizo. Otherwise kama ni kilimo hata kambi nyingine wanapiga jembe kama...
....Nimwanzo mzuri kwake at least atakuwa ametoka kitu kitakachomsaidia hata kwa siku za baadae anaweza kuja kuwa kocha mahiri kama Feegy,wenger, Scolari etc
....Mambo mengine vichekesho kama mtu amestaafu ina maana hata mwajiri wake amemuona anastahili kupumzika sasa mtu kama Mbona bado anataka ubunge nina imani hata uwezo wake wa kufikiri utapungua tu sasa sijui wanakuwa hawajakusanya vijisenti vya kutosha kwa hiyo wanatafuta jinsi ya kuongezea..
Yaelekea serikali yetu bado haijamua kuchukua hatua za makusudi kupambana na hili tatizo na ndio maana hata mauaji ya albinos yanaendelea kika kukicha. Hivi bunge kama lingepisha sheria kwa makusudi kwa lengo la kumaliza mauaji ya albino kuwa kila atakayethibika mahakamani kuwa aliuwa albino...
Thanks QM kwa observations zako nzuri kuhusu hizi filamu za bongo. Ukweli ni kuwa vijana wengi wa kitanzania wanajitahidi kujiingiza katika kutengeneza filamu ingawa kuna mambo ya msingi yanakosekana katika kuigiza kwao kiasi kwamba hata hizo filamu hupoteza mvuto.
Film industry inahitaji...
...Teh! teh!! teh!!! Mjaluo huyo mazee anaweza kumpelekea moto huyo mama mpaka akapagawa!!! Hilary bado analipa tu ingawa sura imeanza kuwa na wrinkles....
...Good start, lakini asiishie kwenye kudai removal order tu. Kama itathibitika kuwa hao Mramba na Yona wana kesi ya kujibu awalambe mvua za kutosha tu sio kufanya usaniii...
...Tatizo letu wabongo ndio hilo huenda huyo Yusuph alidhani akitumia surname ya Kikwete inawezas kumpa chati kumbe ndio anaharibu kabisa...Tikerra, hiyo yawezekana ikawa ni ishara ya muungwana kutimuliwa vumbi jina limechuja hilo!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.