Wanajamii, hii imekaaje?
Leo nimepigiwa simu na jamaa yangu yupo Chato, amekuta wanafunzi wa shule ya sekondari Mujumuzi (ya binafsi) wameandamana barabarani wakidai baadhi walimu wao kurudishwa kazini baada ya walimu hao kupinga utaratibu wa shule hiyo kuwafanyisha mitihani 9 kwa siku moja...
::
Wazo zuri, kuna jamaa yangu ana Scania sasa hivi, ameiandika 'asante salome' Ni baada ya salome kumkataa kisa hakuwa hata na baiskeli. Ni just external forces zinazotusukuma.
=
::
Kaunga
Penzi halina mwalimu
Penzi huuma kwa umu
Penzi halijali mko mbali
Penzi huwasha lataka mkunaji
Penzi ni la wawili si mmoja tu, Hongera kwa kuyapitia
=
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.