"Mwl wa mase hapa ni wapi..." huu msemo tu unatosha kuachana na wanafunzi kazuge shule saa nne nenda chini ya mti vuta fegi yako mwisho wa mwezi kapokee salary kale na familia yako
Hiyo ni dalili ya ugonjwa fulani wa akili jina sikumbuki. Kama hauta tibiwa mapema hupelekea muathirika kuanza kukusanya au kuokota vitu ovyo hasa makopo.
Kijana nguvu ya akili ipo full unaanzaje kuishi kijijini udumaze akili.
Kijijini tunawekeza na kuchukua cheap labours lakini tunaishi mjini. Yaani fursa za Kijijini tunazipata na mjini tupo kama kawaida.
Asante kwa elimu... ila mimi kwakweli kwenye basi ni usingizi mwanzo mwisho tena huwa usiku kabla ya safari najinyima usingizi ili nikaulipe nikiwa kwenye basi. Haya mambo ya usafiri kufa, kuumia au kutoka salama ni bahati tu. Ninewahi pata ajari automatically bila jitihada zozote za kujinusuru...
Nikajua uliruka makomfuu ya kihindi kama akshey... unajua wewe ni wakiume kuwa makini na hizo 'basi bwana' halafu usipende kuwashwawashwa kusimulia kila tukio hzo ni tabia za kike.
Kurudisha hadhi gani ambayo ualimu umewahi kuwa nayo hapa nchini!
Ualimu haujawahi pewa hadhi.
Huko vijijini walimu waliheshimika kwa sababu walikuwa wanaweza kula mboga yenye mafuta mwisho wa mwezi tofauti wanakijiji wengine?
Achakujidanganya, nemesoma chuo na hao waliopitia form 6 huo uwezo wa kufikiri kutuzidi sijauona tena walipata taabu sana kumaster mfumo wa usomaji wa chuo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.