Kwanza pole sana dada kwa kutofuatwa na mwanaume anaekufaa, ila usife moyo nakujiona kama we mdhaifu sana, cha msingi ni kuangalia vigezo muhimu sana vya mwenza anaekufaa na kuvipuuza vigezo dhaifu, kwa mfano kigezo cha elimu kuwa ndogo than yours co strong sana maana m2 anaweza kujiendeleza...
Big up sana ndugu kwa jitihada zako za kutufanya watanzania tuijue historia ya nchi ye2, kiukweli nikiwa miongoni mwa wale ambao 2likua hatujui chimbuko la jina la nchi yetu (TANZANIA) umeniondolea kiza kinene kilichokuwa kimetanda machoni mwangu. GOD BLESS YOU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.