Hamna cha maana alicho ongea kwaajili ya wana nchi wa kata ya mpwapwa mjini . Ana waeleza tu maana ya rangi ya kijani na lugha za kejeli kwa chadema huyu si mwingine ni kibajaji wana muita
Uraisi sio safari wala sio kitu cha kuki kimbilia kiasi iki kwani kila anaye amka asubuhi na kuanza kujitangazia nia ii ina sababisha na watu kuto ku jari taifa na kuweka maslai ya ke mbele uraisi sio rahisi ivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.