...Ule uwanja ndege wa Kigoma nakumbuka ulikuwa ukifanyiwa upanuzi na maboresho mengine ili kuruhusu hata ndege kubwa kama Airbus za Fast Jet kutua. Labda wanahisi hakutakuwa na abiria wa kutosha ukizingatia Presicion Air na ATCL nao wanapeleka ndege. Lakini kiukweli jamaa kutoka Congo, Rwanda...
Jana usiku nilikuwa naangalia habari kwenye kituo kimoja cha runinga. Likatoka tangazo likimuonyesha Dr. Magufuli akijieleza kwa unyenyekevu kwa watazamaji akiomba kura, nyuma kulikuwa na background ya bendera ya Taifa na pia hata vituo kadhaa vya radio nimesikia mara kadhaa wakitoa tangazo la...
Kuna wengine sijui hawaelewi jinsi ya kutofautisha matumizi ya herufi R na L...We msikilize Shafii Dauda wa Clouds jamaa sijui huwa hajui kutofautisha matumizi ya hizo herufi mbili..Mpira yeye anakupa mpila...
Nakumbuka kuna Mkuu wa Wilaya moja mkoani Mbeya aliwahi kuwaeleza wananchi wake wanajenga vijumba dhaifu hata kuku akipiga teke vinaanguka. Kama kawaida watanganyika wakamzonga weee lakini mi naamini alikuwa sahihi sana kwa kuwapa changamoto hao watu...
Mnataka wale watoto wenu akitoka nyumbani asubuhi ana kibakuli kina viazi vya kukaanga na vipande vya nyama na kathoda halafu anaenda kusubiria basi la shule sio mwisho wa siku 00 na masikio......Hao ndio wenye uchungu wakitoboa hakuna kulemba!!!.....
Bandugu natumia hiki king'amuzi cha Continental kwa takribani miezi 4 sasa. Mwanzo kilikuw kinafanya kazi vizuri ingawa hapoati kilinizingua kidogo baadae ikwa safi, then ikaanza tabia ya picha na sauti kukatika katika na ujumbe wa "No signal. Lakini juzi ndio kimegoma kabisa no picha at all...
...Pale kulikuwa na ice cream parlour ya Bakharesa na kwa wakati ule wa Enzi za giza ilikuwa rahisi mtu kuelekezwa kwa jina la Bakharesa. Ingawa pia kulikuwa na hata bucha za "Noah" miaka ile kabla ya mtifuano wa wanaharakati pangeweza pia kuitwa kituo cha "Noah"..
....Hivi na ule mjengo uliopo pale kimara sijui ndio wanaita korogwe uande wa kushoto kuelkea Moro unaodaiwa kuwa ndio ilikuwa garage yenyewe bado analimiliki au FBI walipiga stop kutumika tena?
Mukulu niliwahi kufika sehemu moja huko upareni inaitwa bwambo unapitia Gonja jamaa tuliyekuwa naye anaendesha Landcruiser GX lakini mshikaji alifika sehemu tukakutana fuso linateremka alitetemeka mpaka gari ikazima mlimani licha ya kuwa na 4 wheel. nakusifu kama Nadia imepanda huko basi uko...
Lawsuit Paid In Full: Samsung pays Apple $1 Billion sending 30 trucks full of 5 cent coinsPosted by bladebrown83 on November 13, 2013
Posted in: Music & Entertainment. Tagged: Android, Apple, Cell Phone, iphone, Samsung, TheBladeBrownShow. 47 comments
This...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.