Habari ya jioni wakuu, Judi niliiweka kwenye charge simu yangu iPhone 4S na nikalala, after 5 hours nikaamka ikawa very hot na imezima. Kila nikiwasha inagoma mpaka sasa, naomba msaada wa nini cha kufanya au Kama kuna mtaalamu wa kuweza kutatua tatizo hili.
nitashukuru kwa msaada wenu
Habari wakuu
Naomba msaada wenu, nahitaji kujua mshahara wa serikali TGF kwa mwaka 2009/2010 ulikuwa sawa na shilingi ngapi pia na wa 2010/2011 nao TGF ilikuwa shilingi ngapi?
Wakuu,
Jamaa huyu ambaye ni Mkurugenzi wa NSSF Dr Ramadhani K. Dau amezuia mchakato wa ugawaji wa viwanja Mafia sababu yeye na mdogo wake Mbaraka hawajapata viwanja vyote wanavyovitaka!!
Madai yake kwamba waliopewa si "wenyeji" wa Mafia bali tu ni watumishi wa serikali walioletwa Mafia hivyo...
Tanzania itaanza na Chad kwenye michuano ya awali ya Kombe la Afrika 2014 na kama itashinda itakuwa kundi C pamoja na Ivory Coast, Morocco na Gambia.
Group A: South Africa, Botswana, Central African Republic, Somalia or Ethiopia
Group B: Tunisia, Cape Verde Islands, Sierra Leone, Equatorial...
Wamtaka atangaze mali zake, wadai naye ni fisadi
na Irene Mark na Bakari Kimwanga
KAULI mbiu ya kujivua gamba ya Chama cha Mapinduzi (CCM) inaendelea kuwa mwiba mchungu kwa chama hicho baada ya wananchi kuhoji...
Habari wakuu.
Nina laptop yangu Dell Latitude D610 betri yake haichaji na pale kwenye icon ya charging inawaka rangi ya orange mara nne then kijani mara moja. Niondoa power source laptop inazima ikonesha kwamba betri ni empty. Nikadhani labda tatizo ni betri hivyo nikanunua mpya lakni bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.