Wanachama wa chama kipya na viongozi wao ni Hawa Hawa wa kutoka CCM na CHADEMA?
Kama jibu ni ndio basi CCM na CHADEMA bado wapo Sana.
Endelea kutamani iwe hivyo ila haitatokea . Lengo la katiba mpya wenye nchi wamejifunza jinsi matumizi mabaya ya madaraka Kwa ngazi ya juu yanavyoathiri nchi, na...
Hahahahahah kumbe Sasa hapo nimeelewa , Kwa hiyo bwana dimpo anammind mwenzake kumchukulia bwana hapo kati, je yule mbwatukaji wa mtoni ye hayupo kwenye kilinge Cha kina kinomanoma na dimpozi?
Hapo kwenye choice malizia vizuri , the other one ni nan? So born town kuna mtu anamhofia ? Kuna mtu anakula naye sahani moja ? Ni nani huyo hebu malizia hapo riwaya vizuri ni bonge la stori kudos yoga Wewe ni mwandishi mzuri.
@Charles Mandela Habari, za kitambo kidogo? Nadhani nakumbuka kukuuliza hili swali na ukatoa ufafanuzi, Sasa Kwa muktadha huo huo ambao umeuelezea hapo, Simba ndio waweka madarakani kina sauli, Simba ndio wanaoshikilia intellijensia ya raisi wa kina valuvalu, je sauli katumwa kama kujihami...
Dooh, ila kudos Kwa wote Simba na Chui aisee hao ni mifano hai ya kuigwa , wamepambania vya kwao na jamii zao wameshinda . Je kuna dalili za kuinuka jamii nyingine kama hizo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.