Habari zenu wakuu!
Tunakodisha Tv na vifaa vya video production kwa ajili ya sherehe mbali mbali kama harusi,send off na nyinginezo.Tupo Ubungo Dar es Salaam.
Nyote mnakaribishwa
Kwa mawasiliano zaidi piga
0714400422
Au
0687123813
Ahsante!
Habari za weekend!
Nina kampuni yangu nimefungua tangu mwaka 2017 lakini nilishindwa kumalizia process za kupata TIN NO. na leseni ya biashara so naomba msaada kwa anayefahamu ni vitu gani vinahitajika ili kukamilisha zoezi hili?
Aina ya kampuni ni limited na tupo directors wawili ila jamaa...
Natafuta mtu wa kubadilishana nae yeye aje dar es salaam mimi niende morogoro.
Kada elimu sekondari
Nipo wilaya ya Ubungo
Kama yeye atakuwa wilaya ya mvomero itakuwa poa ndio wilaya ninayotaka.
Mawasiliano ni 0714400422
Dah!Sitasahau hadithi ya Bint chura kila jumamosi saa nane mchana,natamani wairudie niiaikie tena ilikuwa kama sio 1991 basi 1992 RTD kipindi cha mama na mwana mtangazaji nimemsahau
Ukitaka kujua unatumia unit ngapi au mpangaji wako anatumia unit ngapi basi ufumbuzi ni separate meter,unaweza kumfungia kila mpangaji na yake ili kuepusha malalamiko fulani anatumia unit nyingi,bei Tsh 23,000/= tu.
Tunauza vifaa vifaa vya umeme aina zote.Tupo Karia koo mtaa wa Swahili/Narung'ombe Dar es salaam.
Jipatie fen,bulb touch,switch,switch socket,pasi,waya,top plug,multi plug, extension,circuit breaker,separate meter,contactor, na vingine vingi.
Kwa wenye maduka madogo njoo tutakufanyia kwa bei ya...
Andika mahitaji yako kisha nitumia nikupe bei ya jumla,Nina duka lipo Karia koo mtaa wa Swahili tunauuza vifaa vya umeme kama unahitaji nitakuuzia kwa bei ya jumla na faida utaiona.
Sioni umuhimu wake kwani miradi mingi mbona inazinduliwa bila huo mwenge.Kwa kifupi hauna manufaa zaidi ya kupoteza pesa,muda na utuletea umasikini kwa kuchangia mafuta na kuwalipa wanao ukimbiza.Mi nafikiri kama fedha hizo zingewekwa zingesaidia kukarabati barabara zilizoharibika maana bajeti...
Hivi haya magari ya mizigo kupaki barabarani maana yake nini pale kituo cha mwananchi barabara ya mandela utakuta magari kibao yapo yamepaki barabarani bila wasiwasi yanasababisha foleni halafu hakuna hatua zinazo chukuliwa kwa madereva.Kwa kweli hili linakera sana linasababisha foleni isiyo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.