Habari zenu, mimi ni mdada age yangu 30-33 nina tafuta mume mwenye age 34-45 asiye oa, asiye na mtoto zaidi ya mmoja, sijaolewa, sina mtoto, nina elimu ya chuo, nimeajiriwa. Mume mtarajiwa awe ana kazi au amejiajiri awe amesoma, mueelewa, mwenye mapenzi ya kweli, mcha Mungu na awe na hofu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.