Tanzania hatujawahi kuwa na rais asiyefaa Kama alivyokuwa Magufuli, Ni bahati tu kwamba hakukaa miaka mingi kama wenzake vinginevyo tungekuwa na historia kama Ile ya Amin kwa Uganda
Nadhani umekariri tu, miaka inabadilika na nyakati zinakwenda, kama Chadema leo wanapata kura za wazanzbar ni kwamba maisha yanabadilika, kama chadema wanapata maelfu ya kura toka tanga,mtwara na Lindi basi mengine ni kukariri tu, mwaka 2015 Chadema wamepata kura nyingi sana dar, sio kwamba jina...
Usisahau kwamba Lowassa alikuwa anafanya mkutano mmoja mkoa mzima, Lissu ni hatari ameongea na watu wengi Mara tano au kumi zaidi ya lowassa, na kitendo cha kumnyima helkopta kimekuwa na faida kubwa sana kwake kuliko angaeitumia
Hata mie nilikuwa naona hivyo mwanzoni lakini sasa inaanza kuona hali inabadIlika kwa kasi, nahisi kuna ujasiri wa kuzungumza umeongezeka kidogo maana wengi wamemgeukia lissu na kuahidi kumpa kura
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.