Umemuona mwanamke ukampenda mtu mzima ukaamua kumuapproach kwa gia ya urafiki,baada ya muda ukaamua kumwambia hisia zako za kweli then Anakureject(Anakutosa).Sasa naomba niwaulize kuna umuhimu wa kuendelea kuwa marafiki na huyo mtu?
Yaani mkuu ucje sema hivyo Marekani coz utachekwa vibaya, Kamwe Nokia haiwezi funika iphone coz competition ya iphone hv sasa ni Samsung Galaxy s3 na HTC one X, "Nokîa + Microsoft=Complete Disaster. "
Habari zenu wakuu, nilikuwa naomba mnijulishe ni jinsi gani mtu anaweza akautreat ugonjwa wa Social Anxiety Disorder coz nina mdogo wangu ambaye I think anao coz dogo ana aibu ile mbaya hadi inafikia point anaogopa oppposite sex(females), so naomba mnisaidie coz nasikia huu ugonjwa unaweza...
Habari zenu wakuu, nilikuwa naomba mnisaidie sana by kunijulisha ni wapi exactly naweza nikapata CD Za Ps3 in large stock i.e naweza nikaorder CD ambayo haipo Dukani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.