na walituambia wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa ktk sensa na kupata hesabu yao . Watasema mengi kuhusu radio iman kwakufichaficha ila mficha moto moshi umuumbua
Mbona unaongea usililolijua unahakika kwamba ponda kwao burundi? Muislamu haongei kitu bila kufanyia uchunguzi kama unavyoongea ww kama kweli ni muislamu jirekebishe cio tabia ya uislamu hy.
Kuna muislamu na uislamu , inawezekana yy ni muislamu asiyefuata uislamu... Kaulize kwanza yy ni muislamu anaefuata uislamu then rudi hapa tukupe jibu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.