wkatae uafrika wakubali sisi tunachojua mpaka kucheza world cup wametokea kwenye mashindano yaliyoandaliwa na CAF na wamecheza na ku qualify kupitia timu za Africa na kuwakilisha Africa wakiwa pamoja na Cameroun, Senegal, Ghana naTunisia. Na mpaka nafasi waliyofikisha tunaofaidika ni Africa na...
Husitufanye hatujui kusoma sheria. Leo ndio ilikuwa siku rasmi ya kurudisha form tarehe 25/08/2020 kuanzia saa mbili mpaka kumi jioni. Wewe umeisoma sheria ipo
Husitufanye hatujui kusoma sheria. Leo ndio ilikuwa siku rasmi ya kurudisha form tarehe 25/08/2020 kuanzia saa mbili mpaka kumi jioni. Wewe umeisoma sheria ipo
Husitufanye hatujui kusoma sheria. Leo ndio ilikuwa siku rasmi ya kurudisha form tarehe 25/08/2020 kuanzia saa mbili mpaka kumi jioni. Wewe umeisoma sheria ipo
Hajasema endapo atashindwa (feli) bali endapo kura zake zitafanyiwa figusi figusi na kuibiwa au kuchakachuliwa. Waweke sawa maneno yao na ana wasi wasi gani kama anajua hakuna wizi
Wewe badala ya kumwona aliyejificha Rubondo unaongelea hawa ambao wako na wanachi wanapambana na corona. Sasa angalia huyo wa Rubondo corona imemshinda na hata ukimwuliza namba ya wagonjwa na waliokufa hajui maana ameshapoteza kumbukumbu habari uko Rubondo hazifiki. Kapoteza umaarufu dunia nzima...
Safi sana maana Watanzania hamjielewe watu wanakaa ndani halafu mnazurura mnawapelekea corona, nadhani majirani wetu wote watakuja kutufungia mipaka maana kiongozi wenu anaona ni kirusi kitapita mchape kazi wakati yeye amejifungia Lubondo
Hata mimi naona hivyo. Kwa sasa simama kama mwanaume, achana kutishwa na uwezo wake wa pesa after all ameshajifunza na amekua anatafuta mme na wewe ndio ameona ni choice wake. Chukua mke huo achana na woga, cha kwanza mchukue mkae naye mpige mimba muwe na mtoto uku ukisoma tabia zake, ukiona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.