Yaani kwako ukivamiwa na majambazi usiseme umevamiwa na majambazi maana polisi hawatakuja au watachelewa wewe sema kuna chama hapa wamevaa tshirt zimeandikwa katiba mpya utashangaa magari hata 10 yamefika.
Na kuna wengine tumeshauliwa kama kweli Mbowe anamuamini Mungu atuambie ukweli sasa siku nzuri ya kutuambia ukweli ni hiyo tarehe 05.08...watanzania tujitokeze kwa wingi, gaidi asiekuwa na silaha akatuambie ukweli twendeni mahakamani tarehe hiyo..
Zero anaapa kwa Mungu kuwa anaushahidi lakini aliapa pia kwa MO na kutuonyesha picha za gari ya watekaji mpaka leo kimya, huyu mzee nimshauri asitafu tu...
Unampiga mtu risasi 30 bado anakusumbua unaambua kupanga kumchoma sindano ya sumu ukiamini itamuua, safari hii hatutakimbilia kuvaa tshirt za pona haraka Lissu mmeshatuona mazombi nchi hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.